Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Noted with appreciationHii dunia zamani enzi za kina Jezus haikuwa na mipaka binadam aliweza kusafiri popote bila kuulizwa kitambulisho,Sasa ukianza ku hoji sijui Yesu na Mudi walitokea middle east itabidi nikusaidie kufikiri,Huu ubaguzi wa rangi kauleta mzungu tu mi huwa naona binadam wote ni watoto wa baba na mama mmoja mambo mengine utayapata katika biblia kwa undani zaidi.