Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante kaka.. Huku pananifaa sana kupita maelezoInasadikiwa kuwa hadi kufikia mwaka 2050 tayar tutakuwa na viumbe katika sayari ya mars ambao watatoka hapa duniani na kwenda kuanzisha maisha katika sayar hiyo.
Sio ajabu watu wa mungu watakuja kusema kwamba mungu aliumba dunia na mars akazipenda na kuzibariki[emoji23][emoji23].
Ni aibu kuwa na mwanadamu msomi kwa karne hii ambaye anaamini eti akifa kuna mtu sijui kitu kitamchoma moto!.Sijui kuna mtu sijui roho inahesabu makosa yake.Hivi mungu anatoa wapi muda wa kuhesabu makosa yetu?.Huu ni udhaifu mkubwa sana.
Karibu sana katika ulimwengu huru!
,..............Free ideas.......
Hayo ni maroboti ya kutengenezwa na ngozi ya kitimotongoja mshana jr aje nimulize kama haya ma allien ni majini au
crishna alitoka nae huko? je budha? hiyo ni uelewa wako tuu, crishna was there 4000yrs before Christ toka nje ya duara mkuu!Ulishawahi kujiuliza mbona Yesu na mudi wote walitoka mashariki ya kati?.Mbona hakuna mtume wala nabii mmoja aliyetoka America kusini,canada wala India.Mnona husemi kuna udanganyifu mwingi pia kwenye imani na dini zenu.
.......karibu katika ulimwengu huru.....
...free ideas...
Walishawahi onekana zimbwabwe
Kama sikosei umeulizwa swali hilo baada ya kusema sasa mnajua kila kitu,hayo maswali sio kwamba bali umeshajiwekea mpaka wa kufikiri kwa kudhani kila jambo itatumika sayansi.Roho maana yake nini?.Kuna ushahidi gani kwamba kuna roho?.Hivyo ni vitu vya kufikirika kama ilivyo mungu,shetani,pepo,jehanam, n.k
Lazima ujue kwamba hakuna ushahidi wowote wa uwepo wa roho na wala kwamba eti mtu akifariki roho inatoka!.hayo ni mambo ya kufikirika no proofs!
Lazima ujue kifo ni nature ya mwanadamu,kwa hiyo kiumbe hai kina sifa ya kufa,kuzeeka,kuoza n.k.
Lakini hata kama sayansi haiwezi kujibu maswali magumu sana ambayo utauliza baada ya kusoma hili jibu,haimaanishi kwamba kuna mungu!.
Karibu katika ulimwengu huru!
...............Free ideas.......
Umeelewa lakini swali langu vizuri?Kwa sababu ni msomi!
Hivi wewe una umri gani?Soma historia ndugu Uhuru Jr ,mimi huwa sibahatishi haya mambo nadhani unanifahu vizuri tangu mwaka 2013 tumekutana katika mijadala hii.
Lazima ujue kwamba mungu alianza kuitwa mungu asiyeonekana!baada ya kabla ya hapo kuwa ni mungu anayeonekana.
Lazima ujue historia inakwambia nini kuhusu kuabudu.Na huwezi kujua haya yote kama unasoma kitabu kimoja tu Bible ama quran!Jaribu kusoma vitabu vingi ya historia vilivyoandikwa sambamba na bible na quran i mean miaka hiyo.
Karibu katika ulimwengu huru
...............Free ideas.........
Koldasians walikuwa na base Zimbabwe. Ikawaje? Wakafika Wamarekani na Warusi wakasema hao aliens tunataka waondoke hapo mara mojaIkawaje?
Hivi wewe una umri gani?
Misifa ya wazungu sasa wanajosifia kuwa na majini yao ndiyo yenye akili sana, kuliko ya ulimwenguni sifa za kijinga.
Wenzao tunajisifia kuwa Mungu wa kweli na mmoja aliye MTAKATIFU..
Umeelewa lakini swali langu vizuri?