UKWELI KUHUSU MASHIMO YA KISASA
Siku hizi kumekuwa na MATANGAZO mengi sana yanayoelekeza kuhusu mashimo Haya Tunayoita Ya Kisasa YasiyO jaa!
Umeshajifunza nini kuhusu Suala hili?!?
Njoo Nikupe Ukweli sasa!
Ukweli ni kwamba Haya Mashimo YanaJaa Ila kujaa kwake Yanachukua muda mrefu sana! Makadirio ni Miaka 50 na kuendelea!
Tunasema Hayajai kwa sababu Yanachelewa kujaa! Ila kuna Namna ya Kujenga ili Yasijae! Sio kila eneo Ujenzi unalingana!
Kuna sehemu Zenye mawe mawe Au ni Pagumu kama Maeneo Ya Musoma...Tabora....Mwanza....na maeneo Mengine kama Dodoma au Hata hapa kigamboni Dsm....So ujenzi wa Kigamboni utakuwa tofauti na Chamazi na ujenzi wa Mwanza utakuwa tofauti na Mikoa ya Pwani hii Yote ni kwa sababu Ardhi zetu hazifanani!
Kuna watu wanasema Wanajenga kwa Laki 8 kila kitu kwao....na Wengine Wanasema wanajenga kwa million 1 kila kitu kwao halafu kuna mimi nasema Nahitaji Million 1.2 kwa Dsm na Mikoani nakuja Kwa million 1.4
Bei zinatofautiana kulingana na ugumu au wepesi wa kazi! Kuna shimo niliitwa kurekebisha mwanaNyamala Aliambiwa halijai ila likajaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23] na alilipwa laki 8 alipoitwa Akaenda na akajaribu kusolve ikashindikana!
Nakukumbusha tu ukitaka vitu Vya Bei cheap ujue kabisa lazima utagharamika sana baadae! Fanya vitu kwa weredi....Kama unataka vitu vizuri andaa bajeti inayoeleweka na inayotosha!
Unataka Vyoo visivyo Jaa kwa bei Ya vyoo vya kawaida huwezi kupata! Ni vizuri kujua kwamba matofari yenye uwazi sio Suluhisho la Kujaa kwa mashimo HaYa....kuna Utaalamu wake.....
Kama unahitaji huduma hii kwa Dsm utaipata kwa Million 1.2 na mikoani utaipata kwa Million 1.4 ...Tunakuja kwa nauli zetu Popote ulipo!
Cont : 0789005562
Wasap : 0789005562