Zuia Sayayi
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 841
- 134
achana na takataka hii, tafuta Von au HisenseMrUK
Yes.....BOSSUkipata BOSS hata MTUMBA OG umetoboa.
Hebu tupe maarifa mkuu maana langu ukiwasha mpk asubuhi unapata barafu tupuKwa sasa friji unayonunua hakikisha haigandishi mabonge ya barafu juu, kiasi kwamba umeme ukikatika maji yanaanza kuchuruzika humo ndani.
Bei yake
Hizi Boss za mchina si huwa hazichelewi kubumaUkipata BOSS hata MTUMBA OG umetoboa.
TZS 350,000 /=Bei yake
Kumbe Takataka, hizi zina shida gan mkuu?achana na takataka hii, tafuta Von au Hisense
Mkuu nikuuzie Friji Kama hilo kampuni ya BOSS Kwa 330,000 inakuja may fridge guardTZS 350,000 /=
Mara nyingi hizo kampuni za Mr Uk, Homebase n such ni wabongo wanatengenezea vitu China, bidhaa zao bado hazijafika ubora 100% ukilinganisha na brand za Siku nyingi kama Boss au International brands kama HisenseKumbe Takataka, hizi zina shida gan mkuu?
La kizamani ilo, ya sasa yana mfumo unaitwa no frostHebu tupe maarifa mkuu maana langu ukiwasha mpk asubuhi unapata barafu tupu
Au kampuni ya HITACHITafuta brands zifuatazo na ukipata mojawapo ni mkataba;
LG
HAIER
BOSCH
HISENSE
SUMSUNG
ELECTROLUX
BEKO
KELVINATOR
SONY.
Sent from my LG-F800S using JamiiForums mobile app
Bei yake unapata plot huku uswahiliniNunua Samsung au Hisense