Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo pale wanake saba wataomba waitwe hata kwa ubini wetu due ratio inaweza soma1:100Ipo siku wataona umuhimu wetu, tumebaguliwa kila sehemu, hata siku ya wanaume duniani haipo
Ndo pale wanake saba wataomba waitwe hata kwa ubini wetu due ratio inaweza soma1:100
Ko sisi tunasumbuliwa na mkojo tu mkuu?Wanaitwa Madaktari Wa 'Mikojo'
Urologist.
Wanashughulika na Matatizo ya mikojo,tezi dume ,mirija na vibofu.
Ni hao wote uliowataja (Madaktari wanaume) ndiyo wanatibu hao watu. Ukiona Daktari mwanamke huyo analazimisha tu kutaka equal rights.Nimeona aina mbalimbali za madaktari kama ifuatavyo 👇 ila sijaona Doctor of Men
View attachment 3235952
Yale yale nayosemaga...yaani mwanamkenakiwa nanusominna hela ni tabu sanaHahahahaha mwanaume ni kiumbe kinachotakiwa kifutike kabisa kwenye uso wa dunia, hakina faida zaidi ya hasara
Ongeza na Dokta wa Mitishamba sisi tuna cut acrossNimeona aina mbalimbali za madaktari kama ifuatavyo 👇 ila sijaona Doctor of Men
View attachment 3235952
🤣🤣Tangu nimewahi kutibiwa na women doctors, sijawahi kuona aliyenyooka😀😀😀.Wengi wababaishaji!!!
Hahahahaha relax uandike vizuri bhanaYale yale nayosemaga...yaani mwanamkenakiwa nanusominna hela ni tabu sana
Mimi naonaga siwaelewi hawajiamini na hiyo fani imewaoversize😀😀😀🤣🤣
Wee ulihsaelewa bwnanaHahahahaha relax uandike vizuri bhana