Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaume Wamekukwaza nini Dr. M ? hivi umefikiria kama una ndugu zako wa kiume, brothers, uncles, baba je wafutike pia?Hahahahaha mwanaume ni kiumbe kinachotakiwa kifutike kabisa kwenye uso wa dunia, hakina faida zaidi ya hasara
Wewe ulitokeaje bila mwanaume?! Halafu huyo daktari wa wanawake ni kwa sababu ya mfumo wa uzazi wa mwanaume na mwanamke kuwa tofauti - mwanamke anabeba mimba na care kubwa inahitajika ili kuhakikisha afya ya mama na mtoto kabla ya kuzaliwa.Hahahahaha mwanaume ni kiumbe kinachotakiwa kifutike kabisa kwenye uso wa dunia, hakina faida zaidi ya hasara
Waambie BAKITA wakupe Kiswahili chake.Nimeona aina mbalimbali za madaktari kama ifuatavyo 👇 ila sijaona Doctor of Men
View attachment 3235952