kweli kabisa mkuu, hii kitu imeshika kasi sana yaan cku hz imekuwa kama vile ni fashion kufunga ndoa ukiwa mjazito, nakumbuka last year nlihudhuria harusi moja yaan bb harus alikuwa na tumbo kule, hakuwa comfortable hata kidogo make up zenyewe zilidunda,baada ya ndoa hakumaliza hata mwez akajifungua,,,,,
Kwa baadh ya watu ambao nimewah kuongea nao ni kuwa cku hz mambo yamebadilika vijana wanaanza ngono mapema, utoaji wa mimba nao umesababisha kwa kias kikubwa wadada wengi kuharibiwa au kutolewa vizaz, so wakaka wa siku, baadh yao sio wote wanahakikisha kuwa wapenz wao wana uwezo wa kubeba mimba ndio hatua za uchumba na ndoa kufuata.
asante