Sisi huku tunapita kwenye kisima cha moto, Halaaah...!
😅😅Njoo uuombewe upate viza uende ulaya
Si ajabu Siku hizi kukuta watu wana Degree, Masters na PhDs za masuala mbalimbali lakini sio katika Suala la Taalimungu (Theology). Eneo Hili kwa Afrika hatulipi kipaumbele sana lakini ndio eneo tumeonekana tu Wajinga wa kutupwa! Dini ya Kikristo kama Yesu Kristo aliiasisi sio eneo la Kukusanyika watu wajinga na kisha tutegemee kumuona Mungu kwa staili kama hizi za kwenda Mbele ya Mungu tukiwa na mifuko ya Nywele na Kucha.Hilo ndio Kanisa la Halima Mdee na Esther Bulaya
Muuzaji wao wa Ubunge ulitabiriwa hap
Wabunge wa Chadema watahudhuria woteHaha amejua wengi wana imani haba na ndiyo watajazana hapo kupigwa pesa.
usithubutu kuongea vibaya mbele ya dada na mama zetu kuhusu manabii kama hawa