Aina tatu za watu katika maisha yako

Aina tatu za watu katika maisha yako

Ni asilimia chache sana za kumpata mtu mzizi Tanzania hii zaidi ya mzazi wako japo na wenyewe siyo wote but most of them ndo huwa wanaplay part ya mtu mzizi.
 
Me washkaji zangu wengi naona ni watu majani,mnatafutana kwenye ulabu,ngono,sherehe na matumizi ya pesa...

Nimejaribu sana kuwakwepa/kubadiri marafiki lakini nashindwa yaan unamkataa mtu lakin bado utakuta amepaki kigari chake uwanjani pako...inakera sana.
Life kuna muda linakulazimisha uwe mkatili kwa afya yako kiuchumi, kiroho na kiakili, sasa wewe endelea kuwa na wema wa mshumaa uone kitachokukuta.
 
Sitosahau vurugu za gesi Mtwara mjini kama utani duka langu lilivunjwa halafu mbaya zaidi ni siku sita tangu nirudi dar kufuata mali na kama ilivyokawaida nilikuwa nanunua mzigo kama tufanye wa elfu 10 kwa muhindi kule dar halafu ananikopesha wa elfu 5...

Kiukweli sitosahau yale maisha mpaka naingia kaburini kwasababu bidhaa zote zilibebwa dukani mpaka leo najiuliza waliwezaje kubeba nondo na bati ? Washkaji walinitenga sana na muhindi nae alipoona kimya kingi akaanza kudai pesa akaleta mpaka mwanasheria wake aisee noma balaa
Ulifanikiwa kumlipa? Ulifidiwa mali zako?
 
Ulifanikiwa kumlipa? Ulifidiwa mali zako?
Muhindi nilimlipa nilimlipa nusu tu akawa ananidai sana tena mpaka vitisho nikakimbia mji na mpaka leo ananidai ila kiukweli simlipi hata iweje na kuhusu fidia mimi sikupata waliokapata ni wale ambao walichomewa moto na sio kuiba tu
 
73904930eed6d6e69c067bffda3d4ecd.jpg
 
1. Watu wa Majani
2. Watu wa Tawi
3. Watu wa Mizizi

WATU WA MAJANI:
Hawa ni watu ambao wanakuja katika maisha yako kwa msimu tu. Huwezi kuwategemea kwa sababu ni dhaifu. Wanakuja kuchukua tu wanachotaka, lakini upepo ukija wataondoka.
Unatakiwa kuwa makini na hawa watu maana wanakupenda mambo yakiwa sawa ila upepo ukija watakuacha [emoji3064]

WATU WA TAWI:
Wana nguvu, lakini unahitaji kuwa mwangalifu nao pia. Wanaachana wakati maisha yanakuwa magumu na hawawezi kuhimili uzito mwingi. Wanaweza kukaa na wewe katika baadhi ya misimu, lakini wataenda inapokuwa ngumu zaidi [emoji22]

WATU WA MIZIZI:
Watu hawa ni muhimu sana kwa sababu hawafanyi mambo ili waonekane. Wanakuunga mkono hata ukipitia wakati mgumu watakunywesha maji na hawaguswi na msimamo wako wanakupenda hivyo hivyo...
Sio watu wote unaokutana nao au ni marafiki zako, watabaki na wewe.
Ni watu wa aina ya mizizi pekee ndio watakaa bila kujali msimu [emoji122][emoji3526].
 
Umecopy hapa👇🏾
 
Back
Top Bottom