Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Life kuna muda linakulazimisha uwe mkatili kwa afya yako kiuchumi, kiroho na kiakili, sasa wewe endelea kuwa na wema wa mshumaa uone kitachokukuta.Me washkaji zangu wengi naona ni watu majani,mnatafutana kwenye ulabu,ngono,sherehe na matumizi ya pesa...
Nimejaribu sana kuwakwepa/kubadiri marafiki lakini nashindwa yaan unamkataa mtu lakin bado utakuta amepaki kigari chake uwanjani pako...inakera sana.
hata mimi sijawahi kusikia hiloSijawahi kusikia hii. Hatima yake kilimkuta nini?!
Ulifanikiwa kumlipa? Ulifidiwa mali zako?Sitosahau vurugu za gesi Mtwara mjini kama utani duka langu lilivunjwa halafu mbaya zaidi ni siku sita tangu nirudi dar kufuata mali na kama ilivyokawaida nilikuwa nanunua mzigo kama tufanye wa elfu 10 kwa muhindi kule dar halafu ananikopesha wa elfu 5...
Kiukweli sitosahau yale maisha mpaka naingia kaburini kwasababu bidhaa zote zilibebwa dukani mpaka leo najiuliza waliwezaje kubeba nondo na bati ? Washkaji walinitenga sana na muhindi nae alipoona kimya kingi akaanza kudai pesa akaleta mpaka mwanasheria wake aisee noma balaa
Muhindi nilimlipa nilimlipa nusu tu akawa ananidai sana tena mpaka vitisho nikakimbia mji na mpaka leo ananidai ila kiukweli simlipi hata iweje na kuhusu fidia mimi sikupata waliokapata ni wale ambao walichomewa moto na sio kuiba tuUlifanikiwa kumlipa? Ulifidiwa mali zako?