Aina tofauti za nyumba na majina yake

Condominium
Palace
Castle
Mansion
hapo ndio patamu.
japo hata duplex ni nzuri kwa wale wanaojenga kwa ajili ya "kotazi"
 
Kuongezea maarifa. Condomimium na apartment ni kitu kimoja vyote ni kwa ajili ya makazi ndani ya ghorofa ambapo mnakuwa familia kadhaa. Ila tofauti yake ni kwamba kwa condominium familia ina umiliki wa makazi wakati kwenye apartment familia haina umiliki wa makazi; inapangisha(rent).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…