Aina ya Mazoezi yanayofanya Tumbo zuri bila ya kuwa na mtaalamu wa mazoezi ya kiuno

Asant
 
hivi sijui huwa nn jaman..kanakera
Nimeacha mazoez ya tumbo maana sielew kama linapungua au linazidi,
Tumbo la chini gumu sana kuisha yaan juu nipo vizuri uhiii chin sasa kama yai.

Najitahid nivae nguo za kuniziba haka katumbo jeuri, nahakikisha nina gaun za kumwaga na mkanda nafungia juu, ah ah ah ya ndani siri yangu mtu akiniona anaweza asijue. Kamwil kenyewe kadogo tumbo sijui nimelitoa wap mwenzenu
 
Mimi wala sisumbuki nalo kbs..hahahahaa....wansema ni tumbo la uzazi eti..
 
Khuuuu huo uzazi tunao wachache tu ama, wengine mbona flat kabisa, natamanigi nguo zingine lakini ndio watu wanasema macho yaone roho ishinde tamaa.


Hhahaha...ww vaa tu kwan dhambi kuonekana..mm nikiamua kujibana najibana tu tena nimeacha kuvaa ile mikanda..akuu..natikisika tu😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…