Aina ya mazoezi yasiyohitaji Gym

Aina ya mazoezi yasiyohitaji Gym

Elijah

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2012
Posts
1,663
Reaction score
420
Watu wengi wanapenda kwenda gym kufanya mazoezi,lakini wengi wao pia hushindwa kwa sababu mbalimbali kama umbali,kukosa muda,etc

Lakini usiwe moyo,kuna namna nzuri ya kufanya mazoezi ukiwa nyumbani.
Ufanye nini basi? Haya ni baadhi tu ya mazoezi ambayo kwa kweli unaweza kuyafanya ukiwa nyumbani bila gharama yoyote
1.Pushups
2.Squats(kusimama na kuchuchumaa)
3.Chinups(kujivuta juu)
4.Kuruka kamba
5.Situps(zoezi la tumbo)

Pamoja na mazoezi mengI ya kunyoosha viungo kama mgongo,mapaja nk
Kama uko karibu na kiwanja ni advantage kubwa kwako kufanya mazoezi ya jogging pia
Inapendeza sana kufanya mazoezi na mke au mpenzi wako au partner wako wa biashara

Ahsante
 
Mimi kata hivyo amna kinachonisababisha maumivu aisee mazoez nitake mwenyewe yaniiumize duh
 
Hivi gym wanapatikana hao viumbe eeeh,ngoja nianze kwenda!

Mkuu Kuna midude ya ukweli,potea njia siku moja ukajionee,Mimi bhana naingia road asubuhi daily,na kufanya ya viungo...mazoezi Ni hobby Mimi nikikosa kwa siku daah hujisikia hovyo Sana.
 
Kuna haya mazoezi, Ni mazuli kwa wasio na muda sana, Dakika 10 Tu zinatosha
 
Last edited by a moderator:
Wewe ndio una tabia mbaya. Kwani si umeoa mke mzuri, iweje asiangaliwe? Fanya mambo yako na ujiamini
Tabia mbaya sana hii, ndio maana nikampiga marufuku mke wng kwenda gym utakuta lijitu badala lifanye mazoezi linabaki kukodolea mimacho wanawake
 
he kumbe gym wanafuata wanawake basi kuanzia leo mama yeyoo marufuku,tutafanyia mazoezi chumbani
 
Back
Top Bottom