Vegetarian
JF-Expert Member
- Apr 7, 2012
- 654
- 509
Jogging nd'o kila kitu hasa ikifanywa kwenye natural environment uwanjani!mengne ni mbwembwe tu za wazungu..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upate hiyo nafasi wengine utafikiria vita mara mguu pandee mara miguu begani mara angalia ukuta mara simama yeleuwiii hii ni vita au mapenzi
Tii sheria bidada ndio mapenz ayo sio vita
Nadhan hata mpinzani wako wa kisiasa si vibaya kufanya nae mazoezi,Watu wengi wanapenda kwenda gym kufanya mazoezi,lakini wengi wao pia hushindwa kwa sababu mbalimbali kama umbali,kukosa muda,etc
Lakini usiwe moyo,kuna namna nzuri ya kufanya mazoezi ukiwa nyumbani.
Ufanye nini basi? Haya ni baadhi tu ya mazoezi ambayo kwa kweli unaweza kuyafanya ukiwa nyumbani bila gharama yoyote
1.Pushups
2.Squats(kusimama na kuchuchumaa)
3.Chinups(kujivuta juu)
4.Kuruka kamba
5.Situps(zoezi la tumbo)
Pamoja na mazoezi mengI ya kunyoosha viungo kama mgongo,mapaja nk
Kama uko karibu na kiwanja ni advantage kubwa kwako kufanya mazoezi ya jogging pia
Inapendeza sana kufanya mazoezi na mke au mpenzi wako au partner wako wa biashara
Ahsante
Wewe ndio una tabia mbaya. Kwani si umeoa mke mzuri, iweje asiangaliwe? Fanya mambo yako na ujiamini
Au wewe ndio tabia yako mkuu? Tatizo watu wengne hawaendi kufanya mazoezi wanaenda kufanya mambo ya ajabu ajabu tu.
Hivi gym wanapatikana hao viumbe eeeh,ngoja nianze kwenda!
Sijakuelewa. Rudia hili swali kwa kizungu tafadhali
Kizungu ndio lugha gani?
Hivi gym wanapatikana hao viumbe eeeh,ngoja nianze kwenda!
Asante sana kwa ukumbusho,hakika utawafaa wenye kuamini, Thumb Up :A S thumbs_up:You are right, people should start changing their lifestyles by including physical exercises in their daily routines and eat healthy foods. doing this will help to prevent diseases. Your health should be a number one priority.
Naomba kujua wastani wa gharama zza kujiunga gym hapa dar
Hii umenikumbusha kuna sehemu moja dodoma ya kuogelea afu kuna sauna sasa mkitoka kwenye hilo swimpuli wote mnajazana sauna sasahuko ndo utapenda yaani mdada utamkuta ndani ya swimsuti afu ndo kapigwa na joto kali la mulendani imelowa kila kitu hadharani daah utapenda asee.Tena kuna sehemu ya sauna, baada ya mazoezi mnaenda kuoga kisha unajifunga kitaulo unaingia kwenye kuchumba kidogo kina joto la hatari, wanawake wanajifunga kikanga nao ndani, basi utaona vituko, huyu anashika mshipa wake ili joto liingie, huyu anakunjua mashavu ya chini huku akichezea kijiulimi, wanawake wanakagua nani anandizi bukoba, nani anandizi kisukari ,basi raha sana.