Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣AiseePombe zinazo anzia 1500 kushuka chini uwezi kuwa smart.
pombe kali zinazo anzia 10000 kushuka chini uwezi kuwa smart.
ili nimesibitisha baada kunywa henesi nikawa naongea kibosi na mipango mingi.nilivo kuja kunywa k-vant kila siku naonekana kituko
Kuna Ka ukweli fulani hapa ukinywa banana na ukinywa Heineken tofauti kabisaHivi kwa nn ukiwa Bar au eneo lolote la kupata drinks ukianza ile kuongea kwa sauti ya juu tofauti na awali wanazengo hutupia jicho kinywaji unachotumia?
Kuna uhusiano wowote wa aina ya pombe na tabia ya mtumiaji?
Bwahahaha, hivi ile kitu ukinywa lazima uanze kuongea kizungu tu yani. Unajikuta umeyapatia maisha kweliiii.Pombe zinazo anzia 1500 kushuka chini uwezi kuwa smart.
pombe kali zinazo anzia 10000 kushuka chini uwezi kuwa smart.
ili nimesibitisha baada kunywa henesi nikawa naongea kibosi na mipango mingi.nilivo kuja kunywa k-vant kila siku naonekana kituko
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pombe zinazo anzia 1500 kushuka chini uwezi kuwa smart.
pombe kali zinazo anzia 10000 kushuka chini uwezi kuwa smart.
ili nimesibitisha baada kunywa henesi nikawa naongea kibosi na mipango mingi.nilivo kuja kunywa k-vant kila siku naonekana kituko
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bwahahaha, hivi ile kitu ukinywa lazima uanze kuongea kizungu tu yani. Unajikuta umeyapatia maisha kweliiii.
Kuna mwanangu akigonga tu Hennessy anaanza kuhurubiri kiingereza, aiseeeh.
Eti ni kweli K-Vant ina hulka ya kumfanya mnywaji kulia
Hii Itakupa Half Heaven Yaani Duniani Na Juu 50/50View attachment 2174063View attachment 2174063
View attachment 2174066
😂😂😂😂Kuna mwanangu mmoja huwa anakunywa sengereti....naona huwa anaona hapati steam basi ana-mix na K vanga...yaani akishafanya hivyo tu anabadilika pale pale anaanza kuwa mtu wa ovyo mara akumbatie wadada wanaopita karibu yaani ni tafurani!!!
Uongo huok-vant ni kifutio cha ubongo .
hata wanasayansi walevi wamethibitisha vitu viwili tu vinaweza kufika kwenye ubongo k-vant na ukimwi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Pombe zinazo anzia 1500 kushuka chini uwezi kuwa smart.
pombe kali zinazo anzia 10000 kushuka chini uwezi kuwa smart.
ili nimesibitisha baada kunywa henesi nikawa naongea kibosi na mipango mingi.nilivo kuja kunywa k-vant kila siku naonekana kituko
Jamaa kaua 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Aisee