third eye chakra
JF-Expert Member
- Dec 27, 2023
- 713
- 1,745
Unakubalije kwenda kutafuta utajiri kwa mtu ambae ni masikini nayeye?Waganga kwaaina zake..haswa wamtandaoni..manabii namitume..aisee brother utanuka umaskini hadi kaburini.
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
😂😂 ugonjwa wa wengi huoWadada wenye shepu nzuri..tena wakienda kama wanalitingisha[emoji39]
Brother miaka55 utaiskia kwenye mchanga.
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
😂 akiwa anahama kama anaenda sokoni kumbe ndio jumla.Michezo isio kua nauhakika,tena kijumbe unakuta kapanga chumba kimoja..biashara yake anauza mihogo yakukanga,kachumbali na pilipili asubuh.
Brother usiseme siri haikuvuja.
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Hivi huyu balozi wa waalimu yupo wapi siku hizi?Mpwayungu
Yupo inasemekana ndio bwana Intelligent businessmanHivi huyu balozi wa waalimu yupo wapi siku hizi?
Aisee kwa nini kaikimbia ID ya Mpwayungu?Yupo inasemekana ndio bwana Intelligent businessman
Oya Intelligent businessman njoo jibu swaliAisee kwa nini kaikimbia ID ya Mpwayungu?
Tumsubiri Mpwayungu aka intelligent businessman atupe sababu ya kutelekeza jina la kimatumbi.Oya Intelligent businessman njoo jibu swali
Mkubwa nime cheka kinyama😆🤣6. Wezi/Vibaka wa mtaani.
Wataiba Music system, fridge, Smart tv, na smartphone yako
Kwanza nianze kusema Mimi sio mpwayungu, huyo boya Ali pigwa banTumsubiri Mpwayungu aka intelligent businessman atupe sababu ya kutelekeza jina la kimatumbi.
Nusu albino unacho kitafuta tusi laumiane😆🤣🤣.Yupo inasemekana ndio bwana Intelligent businessman
Hasa awe mtu wako wa karibu, no matter what you do.Mtu mlalamishi anaturn off sana.
Usijikatae mkuu mimi ndio yule mbeba lawama 😂Nusu albino unacho kitafuta tusi laumiane😆🤣🤣.
Kuna jamaa alipewa invoice mpaka ya Laki sita kwa mkupuo mmoja.5. Single mazas
Hawa watakupa mauno feni mpaka upagawe maana ni maveterani wa mapenzi ila baada ya hapo utakula invoice mpaka uchakae.
Siri kubwa sana hii kwenye mafanikio.8. Wanawake
Hawa ukiwaendekeza utabaki kuhesabu magari na nyumba za watu na utashindwa kuwa yule ambae uliumbea ili uwe so wapige ×××× na tia kapuni.
Hii alikuwa anaku tune mwanzo kabisa ili Ujae.Heri nusu shari kuliko shari kamiliView attachment 2929890
HAta mimi nilishapewa kama hiyo kwa ajil ya ada ya mtoto..600k nika bonyea, ikapita juu😂Kuna jamaa alipewa invoice mpaka ya Laki sita kwa mkupuo mmoja.