Aina ya Watu 5 Watakaoharibu maisha yako. Jitahidi kuwaepuka

Aina ya Watu 5 Watakaoharibu maisha yako. Jitahidi kuwaepuka

Watu kadhaa ofisini wananong'onezana kila muda. Sometimes wanaweza kumsema mtu waziwazi unawasikia japo wanazungumza kwa magumbo.

Dunia imejaa wanafiki. Nawazaga kwamba hata mie nikiwa sipo nasemwa sana. Sasa najikuta nawachukia sana. Najipa amani ya moyo ila tabia zao kiukweli zinanichosha sana.

Wamejaa uduni kujiona wanajua sana nawaangaliaga tu
 
kuwaepuka watu kama hao labda ukaishi jangwani na mijusi kama mtu una pambana kama tulivyoagizwa kula kwa jasho watu hao ni lazima uishi nao tu kibabe labla kama wewe ni
mwanamke mdangaji, lazima tujifunze kua dynamic mtu hauwezi kua static ni kama kusema unaendesha gari yako umetokea kariakoo unaelekea temeke halafu kichwani kwako ukataka uwe unapishana na bmw tu haiwezekani.
 
Watu kadhaa ofisini wananong'onezana kila muda. Sometimes wanaweza kumsema mtu waziwazi unawasikia japo wanazungumza kwa magumbo.

Dunia imejaa wanafiki. Nawazaga kwamba hata mie nikiwa sipo nasemwa sana. Sasa najikuta nawachukia sana. Najipa amani ya moyo ila tabia zao kiukweli zinanichosha sana.

Wamejaa uduni kujiona wanajua sana nawaangaliaga tu
Uwezi wazuia binadam wasiseme/wasikuseme.

Anaemsema mwingine wakati hayupo jua fika ndivyo unavyosemwa wakati haupo.
 
kuwaepuka watu kama hao labda ukaishi jangwani na mijusi kama mtu una pambana kama tulivyoagizwa kula kwa jasho watu hao ni lazima uishi nao tu kibabe labla kama wewe ni
mwanamke mdangaji, lazima tujifunze kua dynamic mtu hauwezi kua static ni kama kusema unaendesha gari yako umetokea kariakoo unaelekea temeke halafu kichwani kwako ukataka uwe unapishana na bmw tu haiwezekani.
Upo sahihi mkuu, kuwaepuka sio kutokuishi nao, ni kujifunza namna ya kuishi na watu hao.
 
Back
Top Bottom