Aina Ya Watu Waliopo Jf...

Thread kama hii huwa inagawa watu hapa jf! Na kuonekana member wengine kama hawana dhamani hapa jf au hawana michango yoyote hapa jf! Moderator Paw Mhariri tunaomba hii thread muitupilie mbali
 

CRA.P.....

ILA MZIZI SURE SIO MCHOYO WA LIKE....
 
Thread kama hii huwa inagawa watu hapa jf! Na kuonekana member wengine kama hawana dhamani hapa jf au hawana michango yoyote hapa jf! Moderator Paw Mhariri tunaomba hii thread muitupilie mbali
unajipendekeza kwa moderator acha wivu eti kisa we hujatajwa kundi lolote anzisha thread yako halafu ujitaje upo kundi la pili
 
Kuna members wengine JF sumtym wanatabia na itikadi zaki bongo movie bongo movie. Tehe

Ni shida sanaa.
 
Kwa maoni yangu mchanyato huo wa wachoyo wa likes na wale matajiri wa likes na wajuaji na vilaza wa JF ndipo inaponogea hapo sababu kama kuna mada murua kisha kilaza akafanya yake hapo wajuzi huja na kurekebisha au kilaza kaanzisha uzi wa hovyo waungwana hutokea na kurekebisha.
 
Mimi hivyo naona ni vituko tu
[emoji117] Vituko vya JF[emoji118] nishawahi kuandika sioni jipya hapo...soma naww ujijue coz inakuhusu
 
Mbona inaonesha kuwa sample yako ni unrepresentative!! Ukubwa wa sample yako unadetermine objectivity ya matokeo yako!! Angalia jumla ya members wa JF wako wangapi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…