Aina za hasira za wanawake

EINSTEIN112

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2018
Posts
21,711
Reaction score
35,644
[emoji519][emoji519][emoji519][emoji519][emoji519][emoji519][emoji519]
1. Kuna mwanamke ambaye akikasirika, huishia kulia tuu!
[emoji523][emoji523][emoji523][emoji523][emoji523][emoji523][emoji523]

2. Lakini mwingine akichukia, anaongea saanaa muda wote hadi ikukere!
[emoji523][emoji523][emoji523][emoji523][emoji523][emoji523][emoji523]

3. Mwanamke mwingine akikasirika, ananuna, haongei! Mtapishana tu kimya kimya. Mawasiliano kibubu-bubu. Shavu limejaa kama Kobra!

4. Mwingine akishikwa na hasira, period ya ghafla ghafla inafuata!
[emoji257][emoji257][emoji257][emoji257][emoji257][emoji257][emoji257]

5. Wako wanawake ambao, akichukia, Atakachokishika usipokimbia anakutandika na anaweza kukuchoma na kisu,, majuto baadaye!
[emoji523][emoji523][emoji523][emoji523][emoji523][emoji523][emoji523][emoji523]

6. Mwanamke mwingine akikasirika, hasira zake zinaishia kwenye kuvunja-vunja vyombo. Au saa nyingine kugombeza-gombeza wafanyakazi na watoto! Dizaini hii, huwa ni wale waliokosa kukidhiwa haja za kihisia/ ndoa na waume zao!
[emoji526][emoji526][emoji526][emoji526][emoji526][emoji526][emoji526][emoji526]

7. Mwanamke mwingine akikasirika, Mtajuana kitandani panapo usiku, Nakwambia utaungama yoote!
[emoji523][emoji523][emoji523][emoji523][emoji523][emoji523][emoji523]

8. Kuna wengine wakitibuliwa, hukimbilia kufunga mabegi na kuondoka!
[emoji526][emoji526][emoji526][emoji526][emoji526][emoji526][emoji526]

9. Wapo ambao wakikasirika, wanagoma kupika!

10. Wengine wakichukia, wanaamua kwenda kulala kimyaaa!!
[emoji532][emoji532][emoji532][emoji532][emoji532][emoji532][emoji532]

11. Wanawake wengine wakikasirika, tumbo linakata, na pengine mpaka wanaharisha!
[emoji523][emoji523][emoji523][emoji523][emoji523][emoji523][emoji523]

13. Wako ambao wakishikwa na hasira, huingia kwenye maombi na kuugua kusikoweza kutamkwa. Uchungu ukiisha, wananawa uso na kwenda sokoni.
[emoji526][emoji526][emoji526][emoji526][emoji526][emoji526][emoji526]

14. Yuko ambaye akishikwa na hasira, hucheka saaanaaa.... Hutajua kama amekasirika! Dizaini hii ni hatari sana, maana anaweza kukudhuru kiurahisi.

**HAYA DADA ZANGU HASIRA YAKO NAMBA NGAPI**

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…