Ukikaa vibaya wanapasha na kiporo.
Ukikaa vibaya wanapasha na kiporo.
🤣🤣🤣 na imagine tu hapa mabaria walivokua wanangoja kwa hamu utaje saba wazame pm...😄😄No 1 mkuu
Bibi yako ana akili sana msikilizeBibi yangu alishaniambia usikubali kulala usiku kabla hujasolve maugomvi yenu na mwenzako, asubuhi utaenda kazini, na kumuacha mke/mpenzi wako akiwa na hasira then mchana kuna fala ataenda kumtoa stress.
Ili wamkere weeeee hadi wamsubirie night[emoji102][emoji1321][emoji1321][emoji1321][emoji1321][emoji1787][emoji1787][emoji1787] na imagine tu hapa mabaria walivokua wanangoja kwa hamu utaje saba wazame pm...[emoji1][emoji1]
Nilikuwaga na demu wa hivyo aisee nilitombewa sana aisee!Wengine huenda kuliwa kimasihara
Ina maana ulikuwa unamtia hasira mara kwa mara ndo maana yalikukuta hayo,Pole mkuu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Niliwahi kumuona demu wa aina ya No. 4 na No. 11 Wale wa period na Kuharisa .
Nyumba ikiwa na choo kimoja ,siku hiyo shughuli ni pevu, kupigana vikumbo mlangoni kwa choo.
Wamo humu lakini wameufyata,
Jitokezeni.
Wapo #7Na wale ambao wakikasirika wanatafuta mtu awagonge mbona umewasahau
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi ule uzi wa kula tunda kimasihara umefikia wapiWengine huenda kuliwa kimasihara