Aina za hasira za wanawake

8,9 & 13, mwanamke wangu, baada ya hapo ni simu za wazazi na wachungaji kunionya mienendo yangu, na huwa siachi kusikiliza mtu one common rule inapokuja katika matatizo yangu i don’t complain or explain to anyone
 
siliagi kwa sauti naugulia moyoni, ni machozi tu yanatiririka kama bomba.
sasa itokee nmemkosea mtu nalia naona nmemuumiza sana. Yani niko sensitive mno

Sent using Jamii Forums mobile app
We dada ushaolewa?? Maana nahisi kama utaonewa saaana na baharia asiyekujua, watu kama wewe nawaogopaga maana wananifanyaga natubu usiku peke yangu[emoji1317][emoji1317][emoji1317][emoji1317]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We dada ushaolewa?? Maana nahisi kama utaonewa saaana na baharia asiyekujua, watu kama wewe nawaogopaga maana wananifanyaga natubu usiku peke yangu[emoji1317][emoji1317][emoji1317][emoji1317]

Sent using Jamii Forums mobile app
sijaolewa [emoji3]
bi mkubwa ananiambiaga usipokaza ukawa hitler au idi Amini nduli dada utanyanyasika sana.
Nikimwambia siwezi kupigana ananiambia ngoja utajua tu ukiolewa[emoji3]
kwa sasa hivi endelea tu na diplomasia zako. Sema Nikimumia sana vitu vinavunjika sijuagi kwanini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…