Aina za ma Ex

Aina za ma Ex

Nitaangalia ila mizagamuo muhimu hapo baadae
Usiwe kama hivi tafadhali 😁
images (41).jpeg
 
Sio vizuri hivyo ndugu..wanawake ni wadhaifu sana, sisi wanaume tunapaswa kutumia akili zaidi kuliko hisia, huyo ni mke wa mtu hata kama unajua ni mdhaifu kwako mpotezee tu...itakuwa busara sana.Kumpigia mwanaume mwenzio sio afya kabisa..demu angekuea hajaolewa ingekuwa haina uzito....

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
We nimeanza nae anasoma kidato cha tano. nimemla weee na anasema ombe taraka kwa mme wake aje kwangu awe mke pili , ...sema anamtoto sasaa ma X watamu sanaa
 
Najibu swali la nyongeza. Nitajisikia vizuri maana sina ex nilieachana nae vibaya..better me. Ni vile niliona hatuendani katika mitazamo, mawazo,tabia zetu...ukishamfahamu mtu kwa muda unajua tu hapa ndipo na hapa sipo. So wote kwa hekima niliwaambia tu ukweli ama nao walijikataa kitaratibu.

Sijawahi kuwachukia hata mmoja wao zaidi hata nisikie wameoa na wana mafanikio nitawafurahia. Ex sio uadui, ex ni mtu ambae hakupangwa kuwa nawe in this life maybe the after life huko. Na ikitokea nimealikwa harusi natia timu kwa moyo mweupe. Sote ni watoto wa Mungu..no time for hate or resentment..life is too short to hate people. Shout out to all my exes. One love y'all...
Umemalizaaaaa, mie sina cha kuchangia tenaaa.
 
Bwana mi naona hata hapo sipo[emoji28] mi ukinichefua nachefuka kweli mxiew kuna ex mara ya mwisho kumuona ni miaka sijui mingapi iliyopita. Sijui kama ana acc jf ila we boyaaaa bora hata nilikunyima kichwa kama panga.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Umemalizaaaaa, mie cna cha kuchangia tenaaa.
Umemsahau dada ako Faiza Ally eeh 😁

Sugu anaipata pata fresh na majuto juu sio wote mtaachana kwa aman na wee ukiwa roho safi bas inawezekana yeye atakua na gubu hataki kukuachia
 
Mimi nakumbuka tulirudiana na Ex wangu na tukaachana ucku huo huo...!!maana tumeachana miaka 4 hlf mtu anasema hajaguswa miaka yote hyo...!!nkaona kabsaa hapa najivisha bom
 
Mimi nakumbuka tulirudiana na Ex wangu na tukaachana ucku huo huo...!!maana tumeachana miaka 4 hlf mtu anasema hajaguswa miaka yote hyo...!!nkaona kabsaa hapa najivisha bom
Bladi fakeni huyo 😁😁😂
 
Sio vizuri hivyo ndugu..wanawake ni wadhaifu sana, sisi wanaume tunapaswa kutumia akili zaidi kuliko hisia, huyo ni mke wa mtu hata kama unajua ni mdhaifu kwako mpotezee tu...itakuwa busara sana.Kumpigia mwanaume mwenzio sio afya kabisa..demu angekuea hajaolewa ingekuwa haina uzito....

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Watu wana ujasiri wa hatari Sana Aisee. Mke wa mtu kabisa!

Sent from my 2201116TG using JamiiForums mobile app
 
Mimi ma ex wangu wote huwa najifanya siwajui hata anikumbushe vipi sikubali kama namfahamu hata twende mahakamani sikujui [emoji276]Singida hii ilivyojaa wanawake wazuri kumrudia Ex ni matumizi mabaya ya nyara za serikali
 
Ni kupiga block tuu mkuu, kama Ex asiyetaka umove on na maisha yako ubakigi vile vile kama mlivyoachana wa nini sasa?? Akihudumia damu yake anahisi na wewe unafaidi huduma labda. Ni block tuu hakuna kubembelezana akiona umuhimu wa kuhudumia bila kuleta choyo na roho mbaya sawa asipoona umuhimu sawa pia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona makasiriko hivyo 🤣
 
Sio vizuri hivyo ndugu..wanawake ni wadhaifu sana, sisi wanaume tunapaswa kutumia akili zaidi kuliko hisia, huyo ni mke wa mtu hata kama unajua ni mdhaifu kwako mpotezee tu...itakuwa busara sana.Kumpigia mwanaume mwenzio sio afya kabisa..demu angekuea hajaolewa ingekuwa haina uzito....

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Anakosea sana jamaa.
 
Back
Top Bottom