Aina za ma Ex

We nimeanza nae anasoma kidato cha tano. nimemla weee na anasema ombe taraka kwa mme wake aje kwangu awe mke pili , ...sema anamtoto sasaa ma X watamu sanaa
 
Umemalizaaaaa, mie sina cha kuchangia tenaaa.
 
Bwana mi naona hata hapo sipo[emoji28] mi ukinichefua nachefuka kweli mxiew kuna ex mara ya mwisho kumuona ni miaka sijui mingapi iliyopita. Sijui kama ana acc jf ila we boyaaaa bora hata nilikunyima kichwa kama panga.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Umemalizaaaaa, mie cna cha kuchangia tenaaa.
Umemsahau dada ako Faiza Ally eeh 😁

Sugu anaipata pata fresh na majuto juu sio wote mtaachana kwa aman na wee ukiwa roho safi bas inawezekana yeye atakua na gubu hataki kukuachia
 
Mimi nakumbuka tulirudiana na Ex wangu na tukaachana ucku huo huo...!!maana tumeachana miaka 4 hlf mtu anasema hajaguswa miaka yote hyo...!!nkaona kabsaa hapa najivisha bom
 
Mimi nakumbuka tulirudiana na Ex wangu na tukaachana ucku huo huo...!!maana tumeachana miaka 4 hlf mtu anasema hajaguswa miaka yote hyo...!!nkaona kabsaa hapa najivisha bom
Bladi fakeni huyo πŸ˜πŸ˜πŸ˜‚
 
Watu wana ujasiri wa hatari Sana Aisee. Mke wa mtu kabisa!

Sent from my 2201116TG using JamiiForums mobile app
 
Mimi ma ex wangu wote huwa najifanya siwajui hata anikumbushe vipi sikubali kama namfahamu hata twende mahakamani sikujui [emoji276]Singida hii ilivyojaa wanawake wazuri kumrudia Ex ni matumizi mabaya ya nyara za serikali
 
Mbona makasiriko hivyo 🀣
 
Anakosea sana jamaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…