Tuanzie hapa Kwanza:Sema mama j wa deepond hana mume, au anaweza kua anamficha mwamba siku zote hizii sidhan π
Wacha tuUsiwe kama hivi tafadhali π
Mkuu kuna maEx wanakera sana, hawataki mtu amove on, yaani mpaka mtu unakasirika. MaEx kama hao ndio wanakuwaga na gundu huwezi fanikiwa maana hakutakii mema. Ni kublock tuu hakuna kubembelezana.Mbona makasiriko hivyo [emoji1787]
Pond ashamkuta Mganga kkwa Mama J ndio nauliza sio wewe kweli.Mganga tena? Au umechanganya file mkuu π
Hahaaa π hapana aisee.. visa vya kaka mkubwa nimeanza kuvisoma ata sijajiunga humu! ila kama kweli ana moyo mgumu sanaa au washamtengeneza mwambaPond ashamkuta Mganga kkwa Mama J ndio nauliza sio wewe kweli.
Hiyo ndiyo inaitwa Fahari wawili zizi mojaHahaaa π hapana aisee.. visa vya kaka mkubwa nimeanza kuvisoma ata sijajiunga humu! ila kama kweli ana moyo mgumu sanaa au washamtengeneza mwamba
Ila engine ya mama j itakua kiboko daadeki
Mwanamke siyo ndugu yakoEx mzazi mwenza Jana kanilaani vibaya kuwa nisahau kuhusu yeye na mtoto tuliyempata.Kisa na mkasa ni Ada ya mtoto.Mi nimemwambia kuwa now mambo yangu sio mazuri kabisa so hata hiyo ada nitamdanganya kuipata make nko na majanga yangu kibao.Basi nimrpewa laana balaa,Sasa nikajiuliza Mimi ndo nilimsomesha yeye ili aje apate kazi na mwenyezi mungu kamjalia kapata kazi na kaolewa na mtu mwingine nami nilibless.Sasa kama ningekuwa simjali ningekubali kumlipia ada na matumizi yake yote?.Nimebaki nimechoka akili wallahi.
ma-ex wangu wote wameolewa ila baadhi wananifuata niwape ushauri ndoa zao zikiingia tafrani ila serious nikitembea na demu kama hajaolewa basi lazima muda mchache unaofuata apate mume.. nahisi nina baraka ya kuwavushaga wengine ila siku hizi sitaki kutembea na michepuko ya kiafrika naruka na wazungu tu... hawa wanawake wa kizungu raha sana ukiwa nao kwenye mahusiano ni vile tu sasa nishakuwa mume wa mtu ila ningekuwa singo ningewabeba contena zima...Wakuu bila kuzunguka mbuyu wengi wetu tuna ma ex kabla ya kumpata yule ulieamua kuanzisha nae familia yani mke/mume...na kama hujaoa/olewa hii ni yako pia... hatuwatengi ma bachelor na single Madam zetu π! Sasa bas hawa ma ex leo nawaweka categories 3 ambazo wote tunaweza kua familiar nazo.
1. Ex asieachika, huyu ata utukane, upige, uoneshe dharau zote ata unaweza nyandua manzi apo mbele yake na still asikuache na wengine hata ukioa/olewa bado hakati tamaa na wewe na ukipiga simu moja tu huyu hapa.
2. Ex kisirani.. paka na panya, ukisikia turudiane au bora kufa,, BORA KUFAAA ndo huyu yan hata ukitajwa jina lako mbele yake anahisi kutapika. Ni mtu kakuchukia kupita kiasi ata akisikia umefungwa au kufa utajijua mwenyewe.
3. Ex mzazi mwenza, apa kuna vituko sana wachache wamefaulu kuweka tofaut zao pembeni kwa malezi ya mtoto wengine wana miaka na miaka bila mawasiliano.
Hakuna mtoto mdogo humu asie na Ex, vp uzoefu wako katika safari yako ya mapenzi na je yapi madhara ya kuoa/kuolewa na mtu mwenye Ex mwenye sifa mojawapo tajwa apo juu π au ongeza aina ya Ex ambayo sijataja.
Swali la nyongeza hivi unajisikiaje Ex wako kutoboa kimaisha mfano miaka 5+ mmeachana na mtu then mnakutana mwenzio yuko mbali sana kimaisha, sema ukweli utafurahia hatua zake au utajihisi inferior?
Wewe ni ex diplomat π unaombwa na ushauri kabisa? It seems hua unaachana kwa aman na urafiki unabakima-ex wangu wote wameolewa ila baadhi wananifuata niwape ushauri ndoa zao zikiingia tafrani ila serious nikitembea na demu kama hajaolewa basi lazima muda mchache unaofuata apate mume.. nahisi nina baraka ya kuwavushaga wengine ila siku hizi sitaki kutembea na michepuko ya kiafrika naruka na wazungu tu... hawa wanawake wa kizungu raha sana ukiwa nao kwenye mahusiano ni vile tu sasa nishakuwa mume wa mtu ila ningekuwa singo ningewabeba contena zima...
Mkuu aliyekwambia wazungu ni wabaridi nani; ? hebu njoo uonje mzungu mmoja haki ya nani nakwambia hutarudi kwa akina ashura vibegi na UTI π€£Wewe ni ex diplomat π unaombwa na ushauri kabisa? It seems hua unaachana kwa aman na urafiki unabaki
Off topic eti kweli totoz za kizungu ni baridi na hazina ladha? naskia hawafui dafu kwa wabantu wetu hawa kwanzia kujituma mpaka joto la mwili
Dah ulijilipua mzee[emoji119]...kusomesha ni moja ya risk taking.Ex mzazi mwenza Jana kanilaani vibaya kuwa nisahau kuhusu yeye na mtoto tuliyempata.Kisa na mkasa ni Ada ya mtoto.Mi nimemwambia kuwa now mambo yangu sio mazuri kabisa so hata hiyo ada nitamdanganya kuipata make nko na majanga yangu kibao.Basi nimrpewa laana balaa,Sasa nikajiuliza Mimi ndo nilimsomesha yeye ili aje apate kazi na mwenyezi mungu kamjalia kapata kazi na kaolewa na mtu mwingine nami nilibless.Sasa kama ningekuwa simjali ningekubali kumlipia ada na matumizi yake yote?.Nimebaki nimechoka akili wallahi.
Hapana mkuu yaan sikumsomesha kwamba ndo atakuwa wa kwangu hapana mi nilimsomesha Kwa manufaa ya badae ya mtoto tuliyempata pamoja.Dah ulijilipua mzee[emoji119]...kusomesha ni moja ya risk taking.
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umemsahau dada ako Faiza Ally eeh [emoji16]
Sugu anaipata pata fresh na majuto juu sio wote mtaachana kwa aman na wee ukiwa roho safi bas inawezekana yeye atakua na gubu hataki kukuachia
Wew umefuka mipaka unachofanya Ni Kama mm kwenda kumbandua mke wa mtu wakt jamaaa wake kaenda kazini. ingawa sijakamtwa ila Ni upumbavu San nimefanya huwa nikifikiriaa nasema hzi nyegez his!! zitakuja kuniua siku mojaa ,nikikumbuka ile tukio ua nakosa hamu kbsa ya kuoa nilijiona nitalipwa tu vzr ,ila Kweli mwanamke alinipeda Sana Hadi kutaka nimchomeke au kumbabikiza mimba mume wake ,Hilo nilikataa kwa nguvu zote Kwanza jama Hana uchumi mkubwa kihivyo Kia's kwamba anaweza kuhudumia mimba ya pili kwa wakt huo .mngoni yule Ni mjinga San Yuko tayari kudanganya anakwenda kwa mwamposa kwenye maombi kumbe kashinda geto siku nzima akiliwa na kutoa na pesa zake kununa chakula changu na nauli juu yake jamaani ilifika mahali hnikogopa San hayo matendo ninchofanya na mke wa mtu yule.ili bidi niame mtaa na Kisha kuzingiziwa safari za kwenda Moro kumbe nilikuwa namkwepa ,,Namba moja kama Ex wangu ameolewa lakini nikipiga simu moja tu huy hapa nambebaga safar zangu za kikazi maana yeye ni muajiriwa Halmashaur fulani mkoan dodoma uwa anamuaga mme wake naenda kwenye semina bas namla sana na mimba zangu ametoa nying sana.
Ukweli ni kwamba watu weng hawatimizi haja za wenza wao timilifu..japo kua wengine ni hulka yao tu kugawa ila ukweli kabisa watu wanaleta mazoea anaona kakaa na mwanamke zaid ya miaka mi5 pengine kamzalia basi hana jipya kumbe nje anaonekana lulu inan'gaa. Mwanamke akiona umamchukulia poa akat watu wanamsumbua... game yenyewe anaipata kwa manati alaf anakula anashiba kwann asitest mitambo nje? Akikutana na boda wenye virasta wale wanaendesha ndala inaning'ing'inia huna chako tena wanampakia na mkongo juuNikimbie tu mkuu tuache mara moja hiz tabia Ni mbaya sana sijui huwa Hawa ma ex wanadata na nn Hadi kuamua kuhujumu ndoa zao
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app