Ahahaha unataka ugawe chakula?Una njaa?
Ahahah sawa mamaMimi wapwa zangu wananiita mjomba ni mama....π€£
Mama ya konyo...βΉοΈAhahah sawa mama
Wewe unaonekana mswahili wewe aki π€£π€£π€£Mama ya konyo...βΉοΈ
Ahahaha ni utani tu na wewe una mjibujeKuna jamaa yangu mmoja yeye huwa ananisalimia "Mambo" , halafu huwa ananiita "we M'baba"... Sasa nashindwaga kumuelewa kabisaa!
Hapana mkuu....πWewe unaonekana mswahili wewe aki π€£π€£π€£
Hapo Aishi Manula ni majeruhi kabisaKuna jamaa yangu mmoja yeye huwa ananisalimia "Mambo" , halafu huwa ananiita "we M'baba"... Sasa nashindwaga kumuelewa kabisaa!
Ahahaah wewe mswahili tena wa mazenseHapana mkuu....π
Mimi ni shamba ninae tokea kijiji cha mpigamiti, kata ya ibologelo kwenye tarafa ya mchambawima....π
Huku kwetu matumizi ya sukari ni anasa, mkaa tunauza huko mjini alafu sisi tunapikia kuni...πΆ
π€£π€£π€£Ahahaha unataka ugawe chakula?
Huwaga simjibu yule Shoga, huwa nafanya kama kupotezea hiv.Ahahaha ni utani tu na wewe una mjibuje