Aina za wasukuma na kisukuma

Aina za wasukuma na kisukuma

Gawiza...!!

Lugha ya kisukuma ina lahaja kuu nne; ginantuzu, ginang'weli, ginangw'agala na gidakama. Vivyo hivyo, Wasukuma wamegawanyika katika misingi ya lahaja za lugha ya kisukuma.

1.Bhadakama. Hawa wanapatikana sehemu za mji wa Shinyanga, sehemu za Gahama na sehemu za Igunga na Nzega. Kwa idadi, hawa ndiyo Wasukuma wachache sana. Ni watu wenye aibu, wakimya mno... wana muingiliano na utamaduni wa Wanyamwezi. Pengine hawa ndiyo Wasukuma masikini kuliko aina yoyote ya Wasukuma!

2. Bhanang'weli.
Hawa ni Wasukuma wenyeji wa mikoa ya Mwanza, Geita, na kusini - Magharibi mwa Mkoa wa SIMIYU. Kiidadi, hawa ndiyo Wasukuma wengi sana... katika ongea yao, wana matumizi mengi ya 'shi' kwa mfano, shikolo, shiliwa. Pia hawatumii 'ng'wadila' katika salamu za jioni. Wao hutumia 'gawiza' au 'dillo gawiza' Kwa sababu wanaishi katika strategic areas, wana muingiliano na watu wa makabila mbalimbali. Au tuseme wamemezwa na watu wa kuja. Ukienda Geita wenyeji hawaonekani, labda kukimbiza daladala za baiskeli. Mwanza ndiyo usiseme kabisa.

3. Bhanang'wagalla.
Hawa ni Wasukuma wenyeji wa Wilaya za Meatu, Kishapu na Maswa na sehemu za Igunga. Ukikutana nao ni rahisi mno kuwasikia wakisema, 'yombaga bhahebhu', ong'wawiya, kaaa, aghayaa... ni nadra sana kuwasikia wakisalimia, 'ng'wadila' Wao hufupisha, 'dilla mayu' au dilla bhabha. Majina ya maeneo mengi huanza na Ng'wa. Kwa mfano, ng'wabagimu, ng'wajidalala, ng'wanhuzi... Utajiri wao uko kwenye mifugo.
Vijana wa huko hulizika mapema. Kwa mfano, kama mavuno ya matobholwa, karanga, alizeti na pamba ni mazuri, vijana wa maeneo haya hushinda kwenye ngoma za jadi. Hawajui kusaka ridhiki nje ya maeneo yao, utafikiri wako kisiwani. Wanaotoka nje ya maeneo yao ni wafugaji tu. Wanawake wa huko hupenda kuvaa shanga kiunoni na shingoni ingawa sio wajuzi wa mambo ya Tanga. Wavulana nao huvaa miguuni. Soko la wasichana liko juu sana. Pengine huu ukanda, hasa Meatu, ndiyo unaongoza kwa kutoa mahari kubwa Tanzania nzima.

4.Bhanantuzu /Wanyantuzu
Hawa ni Wasukuma wenyeji wa Wilaya za Bariadi na Itilima. Hawa ndiyo Wasukuma waliotapakaa kila kona ya nchi hii. Na pengine bila ya hawa kabila la Wasukuma
lisingejulikana kwa namna hii. Kisukuma chao hakina 'shi' bali hutumia 'si' kwa mfano, sikolo, siliwa....Jamaa hawa wanajua kuchakalika kutafuta mali. Hawaogopi kitu, hawaogopi mtu. Jamaa hawa ndiyo Wasukuma pekee wanaothubutu kwenda kupora ng'ombe za Wamasaai. Ni Wasukuma wenye dharau na mikogo mingi. Kama unasikia watu wanaopenda utani na masihara, basi hawa ni kiboko. Si unamjua Danni Makanga? Mambo ya ujanja ujanja na upigaji dili, hapa ndipo penyewe. We mwangalie Chenge tu, au hata Cheyo au hata Mbunge Njaru. Utanipa jibu. Wanaume wa huko hupenda kuoa wake weupe. Kama sio mweupe basi awe na sifa za ziada. Michepuko kwa mwanaume ni kitu cha kawaida.

Swala la ni msukuma yupi anaongoza kwa ushamba na ukilaza, halikuwa lengo la utafiti huu.

Mobheja sana.
Safiii sana mkuu,ila hapo namba moja,ukitaja msukuma na bhadakama,teari hapo ni vitu viwili vikubwa tofauti.msukuma ametokana na neo sughuma likiwa na maana ya kaskazini,pia wadakama wametokana na neno dakama likiwa na maana ya kusini ambapo ndo wanapatikana hao wadakama.hiyo dakama ndo huo mkoa wa tabora.

Hivyo basi asili ya hawa watu ni west&central africa,ambapo walikuja huku east africa na kuja kumeguka makundi mawili makubwa wasukuma yaani wstu wa kazikazini na wadakama yaani watu wa kusini yaani mkoa wa tabora. But hao wasukuma wanavi tabaka vidogo vidogo but wakiongea wanaelewana tu vizuri
 
Mi naona mleta mada umekuja kutangaza mahaba yako na watu fulani wa bariadi ila huku kwa lengo la kutoa historia ya wasukuma, nimesema hivyo kwa sababu umetutajia hapa watu wako akina chenge,njalu na cheo kwani hao ndiyo nembo ya wasukuma? Basi kwa mantiki hiyo bora ungebadilisha tu uzi wako na kuzungumzia zaidi wasukuma wa kinyantuzu ukatupa na sisi wasukuma wa nassa tukajipambanua vyema tulivyo.

Siku nyingine usije na ujinga huu maana kama ni watu wa kutolea mifano wapo waliotangulia kuwa alama ya wasukuma na si hao mabosi wako unakojipendekeza wewe.
 
Mimi asili yng ni mnyantuzu ila nawachukia sana ni watu ambao ni harsh sana na pia hawana woga wowote kukuua ni jambo la sekunde tu kifupi hawapishani kabisa na wachaga wametanguliza mali mbele ubinadamu baadae kuwa makini na wanyantuzu kukutoa kafara ni easy sana
 
Naona wasukuma wanapangwa kwenye mafungu mafungu kama samaki.
 
Mi naona mleta mada umekuja kutangaza mahaba yako na watu fulani wa bariadi ila huku kwa lengo la kutoa historia ya wasukuma, nimesema hivyo kwa sababu umetutajia hapa watu wako akina chenge,njalu na cheo kwani hao ndiyo nembo ya wasukuma? Basi kwa mantiki hiyo bora ungebadilisha tu uzi wako na kuzungumzia zaidi wasukuma wa kinyantuzu ukatupa na sisi wasukuma wa nassa tukajipambanua vyema tulivyo.

Siku nyingine usije na ujinga huu maana kama ni watu wa kutolea mifano wapo waliotangulia kuwa alama ya wasukuma na si hao mabosi wako unakojipendekeza wewe.
mtoa mada ongezea na hii ili nafsi yako ilizike kabisa, wasukuma wa bariadi ni wachawi kupindukia, wanawake wao ni malaya unaweza gegeda upendavyo na pia roho zao ni mbaya wasiopenda kuona wengine wanafanikiwa mwisho wana hulka ya wizi. in short ni wa kuepuka
 
Gawiza...!!

Lugha ya kisukuma ina lahaja kuu nne; ginantuzu, ginang'weli, ginangw'agala na gidakama. Vivyo hivyo, Wasukuma wamegawanyika katika misingi ya lahaja za lugha ya kisukuma.

1.Bhadakama. Hawa wanapatikana sehemu za mji wa Shinyanga, sehemu za Gahama na sehemu za Igunga na Nzega. Kwa idadi, hawa ndiyo Wasukuma wachache sana. Ni watu wenye aibu, wakimya mno... wana muingiliano na utamaduni wa Wanyamwezi. Pengine hawa ndiyo Wasukuma masikini kuliko aina yoyote ya Wasukuma!

2. Bhanang'weli.
Hawa ni Wasukuma wenyeji wa mikoa ya Mwanza, Geita, na kusini - Magharibi mwa Mkoa wa SIMIYU. Kiidadi, hawa ndiyo Wasukuma wengi sana... katika ongea yao, wana matumizi mengi ya 'shi' kwa mfano, shikolo, shiliwa. Pia hawatumii 'ng'wadila' katika salamu za jioni. Wao hutumia 'gawiza' au 'dillo gawiza' Kwa sababu wanaishi katika strategic areas, wana muingiliano na watu wa makabila mbalimbali. Au tuseme wamemezwa na watu wa kuja. Ukienda Geita wenyeji hawaonekani, labda kukimbiza daladala za baiskeli. Mwanza ndiyo usiseme kabisa.

3. Bhanang'wagalla.
Hawa ni Wasukuma wenyeji wa Wilaya za Meatu, Kishapu na Maswa na sehemu za Igunga. Ukikutana nao ni rahisi mno kuwasikia wakisema, 'yombaga bhahebhu', ong'wawiya, kaaa, aghayaa... ni nadra sana kuwasikia wakisalimia, 'ng'wadila' Wao hufupisha, 'dilla mayu' au dilla bhabha. Majina ya maeneo mengi huanza na Ng'wa. Kwa mfano, ng'wabagimu, ng'wajidalala, ng'wanhuzi... Utajiri wao uko kwenye mifugo.
Vijana wa huko hulizika mapema. Kwa mfano, kama mavuno ya matobholwa, karanga, alizeti na pamba ni mazuri, vijana wa maeneo haya hushinda kwenye ngoma za jadi. Hawajui kusaka ridhiki nje ya maeneo yao, utafikiri wako kisiwani. Wanaotoka nje ya maeneo yao ni wafugaji tu. Wanawake wa huko hupenda kuvaa shanga kiunoni na shingoni ingawa sio wajuzi wa mambo ya Tanga. Wavulana nao huvaa miguuni. Soko la wasichana liko juu sana. Pengine huu ukanda, hasa Meatu, ndiyo unaongoza kwa kutoa mahari kubwa Tanzania nzima.

4.Bhanantuzu /Wanyantuzu
Hawa ni Wasukuma wenyeji wa Wilaya za Bariadi na Itilima. Hawa ndiyo Wasukuma waliotapakaa kila kona ya nchi hii. Na pengine bila ya hawa kabila la Wasukuma
lisingejulikana kwa namna hii. Kisukuma chao hakina 'shi' bali hutumia 'si' kwa mfano, sikolo, siliwa....Jamaa hawa wanajua kuchakalika kutafuta mali. Hawaogopi kitu, hawaogopi mtu. Jamaa hawa ndiyo Wasukuma pekee wanaothubutu kwenda kupora ng'ombe za Wamasaai. Ni Wasukuma wenye dharau na mikogo mingi. Kama unasikia watu wanaopenda utani na masihara, basi hawa ni kiboko. Si unamjua Danni Makanga? Mambo ya ujanja ujanja na upigaji dili, hapa ndipo penyewe. We mwangalie Chenge tu, au hata Cheyo au hata Mbunge Njaru. Utanipa jibu. Wanaume wa huko hupenda kuoa wake weupe. Kama sio mweupe basi awe na sifa za ziada. Michepuko kwa mwanaume ni kitu cha kawaida.

Swala la ni msukuma yupi anaongoza kwa ushamba na ukilaza, halikuwa lengo la utafiti huu.

Mobheja sana.
Nakubaliana nawe 50% tu, nyingine sio kweli
 
Ntuzu wanapenda sana ushirikina kuliko wasukuma wa sehemu zingine, utapeli ndo mahali pake, hata wizi wa aina yoyote wanaweza.

Mtu mmoja ktk familia yuko tayari kuangamiza familia yake yote kwa kafara ili aweze kufanikiwa ktk maisha yake.
 
Ni kweli wasukuma wapo makundi manne lakini ninayoyajua mimi haha 1.bhana keyaa 2.w
Bha salama., 3.bhana ng'weli 4.bha sukuma, ambao kundi hili limebeba eneo kubwa na hasa maeneo Ya Mwanza,hawa wanyantuzu wano kwenye kundi la mhana kiyaa ambao wanapatikana maeneo ya bariadi, maswa na wadakama hawa wanapatikana ya nzega Kahama mashariki lakini bhana ng'weli hawa wanapatikana maeneo ushirombo yaani bukombe!
Alivyosema mleta mada ndivyo sahihi haswa, mi nko huku nawasoma vyema. Kwa wanyantuzu wote lazma wawe na tatoo zao aka chale hata kwa masistaduu wao tena huku haina hata shida kumkuta hivyo msichana, tatoo mwili mzima.
 
Ni kweli wasukuma wapo makundi manne lakini ninayoyajua mimi haha 1.bhana keyaa 2.w
Bha salama., 3.bhana ng'weli 4.bha sukuma, ambao kundi hili limebeba eneo kubwa na hasa maeneo Ya Mwanza,hawa wanyantuzu wano kwenye kundi la mhana kiyaa ambao wanapatikana maeneo ya bariadi, maswa na wadakama hawa wanapatikana ya nzega Kahama mashariki lakini bhana ng'weli hawa wanapatikana maeneo ushirombo yaani bukombe!
Labda wewe umezingatia vgezo vingne vya uchanganuzi, inaweza pia ikawa sawa sawia.
 
Ila ukiwa mgeni huku utakuwa na mengi ya kustaajabu huku, hakuna masikini kabisa huku ila wanaishi maisha ya ajabu kuliko hata wazaramo maskini.
 
Gawiza...!!

Lugha ya kisukuma ina lahaja kuu nne; ginantuzu, ginang'weli, ginangw'agala na gidakama. Vivyo hivyo, Wasukuma wamegawanyika katika misingi ya lahaja za lugha ya kisukuma.

1.Bhadakama. Hawa wanapatikana sehemu za mji wa Shinyanga, sehemu za Gahama na sehemu za Igunga na Nzega. Kwa idadi, hawa ndiyo Wasukuma wachache sana. Ni watu wenye aibu, wakimya mno... wana muingiliano na utamaduni wa Wanyamwezi. Pengine hawa ndiyo Wasukuma masikini kuliko aina yoyote ya Wasukuma!

2. Bhanang'weli.
Hawa ni Wasukuma wenyeji wa mikoa ya Mwanza, Geita, na kusini - Magharibi mwa Mkoa wa SIMIYU. Kiidadi, hawa ndiyo Wasukuma wengi sana... katika ongea yao, wana matumizi mengi ya 'shi' kwa mfano, shikolo, shiliwa. Pia hawatumii 'ng'wadila' katika salamu za jioni. Wao hutumia 'gawiza' au 'dillo gawiza' Kwa sababu wanaishi katika strategic areas, wana muingiliano na watu wa makabila mbalimbali. Au tuseme wamemezwa na watu wa kuja. Ukienda Geita wenyeji hawaonekani, labda kukimbiza daladala za baiskeli. Mwanza ndiyo usiseme kabisa.

3. Bhanang'wagalla.
Hawa ni Wasukuma wenyeji wa Wilaya za Meatu, Kishapu na Maswa na sehemu za Igunga. Ukikutana nao ni rahisi mno kuwasikia wakisema, 'yombaga bhahebhu', ong'wawiya, kaaa, aghayaa... ni nadra sana kuwasikia wakisalimia, 'ng'wadila' Wao hufupisha, 'dilla mayu' au dilla bhabha. Majina ya maeneo mengi huanza na Ng'wa. Kwa mfano, ng'wabagimu, ng'wajidalala, ng'wanhuzi... Utajiri wao uko kwenye mifugo.
Vijana wa huko hulizika mapema. Kwa mfano, kama mavuno ya matobholwa, karanga, alizeti na pamba ni mazuri, vijana wa maeneo haya hushinda kwenye ngoma za jadi. Hawajui kusaka ridhiki nje ya maeneo yao, utafikiri wako kisiwani. Wanaotoka nje ya maeneo yao ni wafugaji tu. Wanawake wa huko hupenda kuvaa shanga kiunoni na shingoni ingawa sio wajuzi wa mambo ya Tanga. Wavulana nao huvaa miguuni. Soko la wasichana liko juu sana. Pengine huu ukanda, hasa Meatu, ndiyo unaongoza kwa kutoa mahari kubwa Tanzania nzima.

4.Bhanantuzu /Wanyantuzu
Hawa ni Wasukuma wenyeji wa Wilaya za Bariadi na Itilima. Hawa ndiyo Wasukuma waliotapakaa kila kona ya nchi hii. Na pengine bila ya hawa kabila la Wasukuma
lisingejulikana kwa namna hii. Kisukuma chao hakina 'shi' bali hutumia 'si' kwa mfano, sikolo, siliwa....Jamaa hawa wanajua kuchakalika kutafuta mali. Hawaogopi kitu, hawaogopi mtu. Jamaa hawa ndiyo Wasukuma pekee wanaothubutu kwenda kupora ng'ombe za Wamasaai. Ni Wasukuma wenye dharau na mikogo mingi. Kama unasikia watu wanaopenda utani na masihara, basi hawa ni kiboko. Si unamjua Danni Makanga? Mambo ya ujanja ujanja na upigaji dili, hapa ndipo penyewe. We mwangalie Chenge tu, au hata Cheyo au hata Mbunge Njaru. Utanipa jibu. Wanaume wa huko hupenda kuoa wake weupe. Kama sio mweupe basi awe na sifa za ziada. Michepuko kwa mwanaume ni kitu cha kawaida.

Swala la ni msukuma yupi anaongoza kwa ushamba na ukilaza, halikuwa lengo la utafiti huu.

Mobheja sana.

Sahihi: Madila gawiza
Sio sahihi: Dillo gawiza
 
Ila ukiwa mgeni huku utakuwa na mengi ya kustaajabu huku, hakuna masikini kabisa huku ila wanaishi maisha ya ajabu kuliko hata wazaramo maskini.
Mr fafanua uposema hakuna masikini kabisa unamanisha nini
 
Sawa ulivyoeleza ila umeacha taja wasukuma walioenda shule kuliko wengine na pia ni wasukuma wepi walioenda kulima mashamba ya katani Tanga na karafuu kule Pemba na kulowea,....hapa simaanishi akina Shbundas
Hao ni wanyantuzu ndio wko sana huko pemba
 
Mi naona mleta mada umekuja kutangaza mahaba yako na watu fulani wa bariadi ila huku kwa lengo la kutoa historia ya wasukuma, nimesema hivyo kwa sababu umetutajia hapa watu wako akina chenge,njalu na cheo kwani hao ndiyo nembo ya wasukuma? Basi kwa mantiki hiyo bora ungebadilisha tu uzi wako na kuzungumzia zaidi wasukuma wa kinyantuzu ukatupa na sisi wasukuma wa nassa tukajipambanua vyema tulivyo.

Siku nyingine usije na ujinga huu maana kama ni watu wa kutolea mifano wapo waliotangulia kuwa alama ya wasukuma na si hao mabosi wako unakojipendekeza wewe.
Jamaa kaegemea upande fln
 
mtoa mada ongezea na hii ili nafsi yako ilizike kabisa, wasukuma wa bariadi ni wachawi kupindukia, wanawake wao ni malaya unaweza gegeda upendavyo na pia roho zao ni mbaya wasiopenda kuona wengine wanafanikiwa mwisho wana hulka ya wizi. in short ni wa kuepuka
True that,halfu ni mabogaz
 
Mi naona mleta mada umekuja kutangaza mahaba yako na watu fulani wa bariadi ila huku kwa lengo la kutoa historia ya wasukuma, nimesema hivyo kwa sababu umetutajia hapa watu wako akina chenge,njalu na cheo kwani hao ndiyo nembo ya wasukuma? Basi kwa mantiki hiyo bora ungebadilisha tu uzi wako na kuzungumzia zaidi wasukuma wa kinyantuzu ukatupa na sisi wasukuma wa nassa tukajipambanua vyema tulivyo.

Siku nyingine usije na ujinga huu maana kama ni watu wa kutolea mifano wapo waliotangulia kuwa alama ya wasukuma na si hao mabosi wako unakojipendekeza wewe.
Bashirimu banassa!!
 
Back
Top Bottom