Aina za wasukuma na kisukuma

Safiii sana mkuu,ila hapo namba moja,ukitaja msukuma na bhadakama,teari hapo ni vitu viwili vikubwa tofauti.msukuma ametokana na neo sughuma likiwa na maana ya kaskazini,pia wadakama wametokana na neno dakama likiwa na maana ya kusini ambapo ndo wanapatikana hao wadakama.hiyo dakama ndo huo mkoa wa tabora.

Hivyo basi asili ya hawa watu ni west&central africa,ambapo walikuja huku east africa na kuja kumeguka makundi mawili makubwa wasukuma yaani wstu wa kazikazini na wadakama yaani watu wa kusini yaani mkoa wa tabora. But hao wasukuma wanavi tabaka vidogo vidogo but wakiongea wanaelewana tu vizuri
 
Mi naona mleta mada umekuja kutangaza mahaba yako na watu fulani wa bariadi ila huku kwa lengo la kutoa historia ya wasukuma, nimesema hivyo kwa sababu umetutajia hapa watu wako akina chenge,njalu na cheo kwani hao ndiyo nembo ya wasukuma? Basi kwa mantiki hiyo bora ungebadilisha tu uzi wako na kuzungumzia zaidi wasukuma wa kinyantuzu ukatupa na sisi wasukuma wa nassa tukajipambanua vyema tulivyo.

Siku nyingine usije na ujinga huu maana kama ni watu wa kutolea mifano wapo waliotangulia kuwa alama ya wasukuma na si hao mabosi wako unakojipendekeza wewe.
 
Mimi asili yng ni mnyantuzu ila nawachukia sana ni watu ambao ni harsh sana na pia hawana woga wowote kukuua ni jambo la sekunde tu kifupi hawapishani kabisa na wachaga wametanguliza mali mbele ubinadamu baadae kuwa makini na wanyantuzu kukutoa kafara ni easy sana
 
Naona wasukuma wanapangwa kwenye mafungu mafungu kama samaki.
 
mtoa mada ongezea na hii ili nafsi yako ilizike kabisa, wasukuma wa bariadi ni wachawi kupindukia, wanawake wao ni malaya unaweza gegeda upendavyo na pia roho zao ni mbaya wasiopenda kuona wengine wanafanikiwa mwisho wana hulka ya wizi. in short ni wa kuepuka
 
Nakubaliana nawe 50% tu, nyingine sio kweli
 
Ntuzu wanapenda sana ushirikina kuliko wasukuma wa sehemu zingine, utapeli ndo mahali pake, hata wizi wa aina yoyote wanaweza.

Mtu mmoja ktk familia yuko tayari kuangamiza familia yake yote kwa kafara ili aweze kufanikiwa ktk maisha yake.
 
Alivyosema mleta mada ndivyo sahihi haswa, mi nko huku nawasoma vyema. Kwa wanyantuzu wote lazma wawe na tatoo zao aka chale hata kwa masistaduu wao tena huku haina hata shida kumkuta hivyo msichana, tatoo mwili mzima.
 
Labda wewe umezingatia vgezo vingne vya uchanganuzi, inaweza pia ikawa sawa sawia.
 
Ila ukiwa mgeni huku utakuwa na mengi ya kustaajabu huku, hakuna masikini kabisa huku ila wanaishi maisha ya ajabu kuliko hata wazaramo maskini.
 

Sahihi: Madila gawiza
Sio sahihi: Dillo gawiza
 
Ila ukiwa mgeni huku utakuwa na mengi ya kustaajabu huku, hakuna masikini kabisa huku ila wanaishi maisha ya ajabu kuliko hata wazaramo maskini.
Mr fafanua uposema hakuna masikini kabisa unamanisha nini
 
Sawa ulivyoeleza ila umeacha taja wasukuma walioenda shule kuliko wengine na pia ni wasukuma wepi walioenda kulima mashamba ya katani Tanga na karafuu kule Pemba na kulowea,....hapa simaanishi akina Shbundas
Hao ni wanyantuzu ndio wko sana huko pemba
 
Jamaa kaegemea upande fln
 
True that,halfu ni mabogaz
 
Bashirimu banassa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…