Aina za wasukuma na kisukuma

Hovyo kabisa, kama hujui kaa kimya
Shida ni pale mnaojua mnapokaa kimya lazima wasiojua waje kuongea ila ukweli nimekaa na wasukuma mwaka wa 3 sasa katikati yao mnyantuzu ni wa kuwa makini nae baadhi yao sio watu wazuri kabisa wanathamini mali kuliko utu ila wana mabinti wazuri sana na sio wachoyo
 
Uko sawa sana lakini sehemu moja tu uliposema kwamba bila msukuma wa bariadi kutapakaa nchini pengine kabila hili lisingejulikana.hii hapana.wasukuma tupo wengi sana sana,na wote tumetapakaa nchini mpka nje ya mipaka kama Zambia Malawi na Msumbiji tukitafuta malisho ya mifugo.tunajulikana nchini kwa sababu moja tu kubwa kwamba tupo wengi sana.kumbuka kwa sasa tunamiliki mikoa mitano,na hii isichukuliwe kua ni majivuno la hasha..ni hali halisi,karibuni Mwanza,Tabora,Shinyanga,Geita na Simiyu.

JAH RASTAFARI MORNING AFRICA
 
Pye bose banyalali.

Ateho mna kulangwa nyachilochilo henaho.

Kongono obise bhana ba Masala Kulangwa.
 

UTAFITI WAKO HAUNA MAANTIKI YA KABILA LA WASUKUMA. “UNACHANGANYA”
 
Mm msukuma wa Mallya wilaya ya kwimba ila ukoo wetu umeingiliana na mtabaka yote maaana bariadi mwamapalala ndo baba yangu mdogo anakaa na shangazi yangu kaolewa huko ...shinyanga,igunga,nzega tabora,misasi,jihu,malampaka isagenhe misungwi ilula mwanza mjini na sehemu kibao huko kote na ndugu tena wa dam kabisa
 
Alichokiongea n sahihi kabisa, pia wanyantuzu wako vizuri hata kwenye elimu halaf mkoa wa simiyu kwa ujmla wakazi wake wana kipato cha kati ukilinganisha na mikoa mingine kama geita, shinyanga , au mwanza" kwahyo wako vzr halaf wapo mpka kariakoo wana maduka makubwa , kwenye dhahabu ndo usiseme kila sehem wapo , geita wamedominate wao upande wa dhahabu , kwa kweli n wapambanaji sana, hongera yao
Tatizo kubwa walionalo n wabishi sana kila mtu anajifanya anajua
 
Nyantuzu/sukuma we run this!..[emoji2]
 
Kiasi amejitahidi, ukweli ni Kwamba hakuna kabila la kisukuma ila sukuma ni upande wa kazikazini kwahiyo wenyeji walitambuana kutokana na upande unakoishi hivyo basi pande nne za dunia ndiyo ulileta kabila la wasukuma, tukianza na SUKUMA ni KASIKAZINI yaani SENGEREMA, MWANZA, DAKAMA ni KUSINI yaani NZEGA, TABORA utakutana na WANYAMWEZI , KEEYA ni MASHARIKI yaaniSHINYANGA, MASWA, SIMIYU utakutana na WANYANTUZU . MGHWELI ni MAGHARIBI yaani KAHAMA, GEITA ambako utakutana na WASUMBWA. Kwa rahaja zao yupo sawa kabisa na hasa hawa wanakiya wananaweza kuuza mama zao ili kupata malí.
 
Kundi la mwisho ndiyo la wezi. Asante kwa kutufahamisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…