Nini malengo ya Putin nchini Ukraine ? mnajisahaulisha mapema sanaKwani umeamviwa Russia wanataka kumuua Zele. Wangetaka wangefanya Millitary Ops?
Dah umezingua leo mzee!!!....
Wakati Zele yupo Kherson Russia walijua pia sababu alihutubia watu, Jiulize why Russia hakuvurumisha makombora hapo???? Hata kama defenses zipo abahatishe amuue
WE UNAYAJUA , LABDA UTUAMBIE KWA NIABA YA PUTINNini malengo ya Putin nchini Ukraine ? mnajisahaulisha mapema sana
Zele alienda krb kbs na walipo warusi ila Andunje kaenda kulipua upande wa magharib ya Ukraine , ukiwa timamu utaelewa kuwa Ukraine kwasasa wapo vzr
KASOME NEW YORK CONVENTION YA MWAKA 1973 Iliyozaa International PROTECTION OF DIPLOMATS CONVENTION MWAKA 1978.
UKISOMA LABDA UTAELEWA KWA NINI ZELE NA WANASIASA WA EU HAWASHAMBULIWI NA RUSSIA WAKIINGIA UKRAINE.
ILISAINIWA NA NCHI 180 zikiwemo 177 za Un enzi hizo ikiwemo Russia. Hao Diplomats ni Head Of States, Ambassadors, Foreign Ministers, Defence Ministers and their familis.
Acheni kukurupuka.
Acha kelele mabom 90 waliyorusha russia kupiga Kyiv 73 yamepanguliwa, kazi inaendeleaMarekani ilijinasibu sana kuwa imeshapeleka air defense system za hali ya juu lakini bado jiji la Kiev linapata kipigo cha mbwa mwizi kila urusi ikitaka.
Ukraine has reportedly received two batteries of NASAMS short- to medium-range ground-based air defense systems from the US. [Twitter]
President Volodymyr Zelenskyy said in an interview broadcast on Sunday (25 September) that Ukraine had received sophisticated air defence systems from the United States.
It was the first acknowledgment that Ukraine had received the National Advanced Surface-to-Air Missile System (NASAMS), long sought by Kyiv and whose shipment was approved by Washington late last month.
“We absolutely need the United States to show leadership and give Ukraine the air defence systems. I want to thank President (Joe) Biden for a positive decision that has been already made,” Zelenskyy said, according to an English-language transcript of the interview.
High precision Cruise missiles za mrusi zinapenya tu kiulaini!! Zelenskyn angeshtuka vipi hizi defense system ambazo zimewekwa kuilinda Kiev lakini mambo hayaendi?
😃😃😃 Goba?Nasubiri wataalamu wa masuala ya Defence Missiles kutoka Goba
Wachambuzi kutoka kwa Mpalange hao[emoji23]Acha kelele mabom 90 waliyorusha russia kupiga Kyiv 73 yamepanguliwa, kazi inaendelea
hujui alama ya kuuliza ina maanisha nnWE UNAYAJUA , LABDA UTUAMBIE KWA NIABA YA PUTIN
saa 72 hazijaisha ? kutoka mapangoni hadi kumsogelea alipo mrusi sio mchezo , Putin mpk sasa haez hata sogelea CrimeaMrusi bado ana muda wa kutosha..........
yaan anaheshimu kote huko ila haeshimu vipengele vya minsky kuwa wasivamiane , hizo agreements ni muhimu kuliko hii ya minsky ?KASOME NEW YORK CONVENTION YA MWAKA 1973 Iliyozaa International PROTECTION OF DIPLOMATS CONVENTION MWAKA 1978.
UKISOMA LABDA UTAELEWA KWA NINI ZELE NA WANASIASA WA EU HAWASHAMBULIWI NA RUSSIA WAKIINGIA UKRAINE.
ILISAINIWA NA NCHI 180 zikiwemo 177 za Un enzi hizo ikiwemo Russia. Hao Diplomats ni Head Of States, Ambassadors, Foreign Ministers, Defence Ministers and their familis.
Acheni kukurupuka.
huna akili yaan Urusi anaua raia na hata sabab za kuua raia huna unashabikia kama zombie tu , punguani mkubwaHata Targeted Killing kwenye Vita hairuhusiwi mzee.
Najiuliza wewe ungekuwa Kamanda wa Urussi sasa hivi familia ya Zele chali kwa mvua ya makombora.
Zele alikuwa Live Kherson na Russia nao wakatulia wanamaikiliza kwenye Media.
#Rules
Saa 72 leta uthibitisho tena kwa mlivyoikomalia huwez kosa ka screenshot............mpumbavu tu ndo hataelewa anachofanya mrusi......anakupiga kiev sembuse hapo kherson....hio ndo chess sasa sio draftsaa 72 hazijaisha ? kutoka mapangoni hadi kumsogelea alipo mrusi sio mchezo , Putin mpk sasa haez hata sogelea Crimea
UMEISOMA MINSK AGREEMENT WEWE.yaan anaheshimu kote huko ila haeshimu vipengele vya minsky kuwa wasivamiane , hizo agreements ni muhimu kuliko hii ya minsky ?
Donbass na Donetsk unajua Zele kafyeka Raia wangapi kabla ya vita??huna akili yaan Urusi anaua raia na hata sabab za kuua raia huna unashabikia kama zombie tu , punguani mkubwa
Vita ni kama Chess. Kwa kweli!!Saa 72 leta uthibitisho tena kwa mlivyoikomalia huwez kosa ka screenshot............mpumbavu tu ndo hataelewa anachofanya mrusi......anakupiga kiev sembuse hapo kherson....hio ndo chess sasa sio draft
Halafu hawajui kuna battle na kuna war......unaweza ukashinda battle ila war bado hujashinda........Vita ni kama Chess. Kwa kweli!!
Hawajui unaweza pigana leo lakini una hesabu za mwezi March mwakani.
Yaani wao wanataka kulifundisha jeshi la urusi namna ya kupambana. So funny
Unapotukana kwenye nyuzi hizi INASADIFU afya ya akili yako.huna akili yaan Urusi anaua raia na hata sabab za kuua raia huna unashabikia kama zombie tu , punguani mkubwa