Ralph Tyler
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 2,828
- 3,579
Air Hostage ni mateka hewan ila mateka hewa embu kumbuka ile ya wafanyakaz hewaNi mateka wa hewani. Au mateka hewa.
Huko mimi sikuwepoUnataka watu waanze kumnanga mzee baba? Maana jana alichapia vibaya sana.
Inawezekana ni wafanyakazi hewa walikamatwa mateka, hostage.Air Hostage ni mateka hewan ila mateka hewa embu kumbuka ile ya wafanyakaz hewa
Aku, usinilishe maneno. Nazungumzia air hostage tu, mengine sihusiki.Kuna ntu unamchokoza hapa!
Duh! watu mnachokonoa sana.Ni mateka wa hewani. Au mateka hewa.
Mawazo mbadala yanakaribishwa.
Ni mateka wa hewani. Au mateka hewa.
Mawazo mbadala yanakaribishwa.
nani amemchokonoa nani?Duh! watu mnachokonoa sana.
Unajua kwa nn watanzania hatusongi mbele ni kwa sababu ya watu kama wewe wapo kusubili mtu ujikwae waanze kuchrka kujifurahisha nafsi zao.Ni mateka wa hewani. Au mateka hewa.
Mawazo mbadala yanakaribishwa.
Mheshimiwa sijasema lolote kuhusu huyo uliyemtaja!alijua kakosea akaomba kusahihishwa
akapata neno sahihi, is natural, is humanity na ni kawaida kwa kila mtu
wewe kuianzishia thread inaonyesha
1.una chuki, huna la kumkosoa
2.una chuki, iko moyoni unatafuta tu slight mistake
JPM atabaki kuwa juu, atabaki kileleni with or without your criticism
Na wewe unajiondoa kwenye kundi la normal human, unaingia kwenye kundi la usiye na wazazi au watu wazima.Likely mama alikutupa au kukuzalia chooni, kisha kwa sababu aliathirika hakukunyonyesha ukakosea common sense katika kila ufanyacho
ukitaka kuamini nilichoandika, jiulize...faida ya hii thread ni nini?
mtakusanyana hapa watoto mliotupwa jalalani
Nani kajikwaa? Nani kacheka?Unajua kwa nn watanzania hatusongi mbele ni kwa sababu ya watu kama wewe wapo kusubili mtu ujikwae waanze kuchrka kujifurahisha nafsi zao.
Kwasababu sioni ajabu mheshimiwa kukosea maana si mtaalam wa mambo hayo ya anga na misamiati yake ndio maana akaomba neno sahihi na kusahihishwa.
Acha fitna wewe.
Mheshimiwa sijasema lolote kuhusu huyo uliyemtaja!
Na hayo mengine yote uliyosema ni ya kwako mwenyewe, miye simo! Sihusiki kabisaaaaa!
ukweli upi?ushaambiwa ukweli
note nilichokueleza hapo na jitathmini
hauna mama wewe bisha!
Acha kuabudu Binadamu mwenzako,na huko kileleni atakapobaki labda kileleni kwako na Mke wakoalijua kakosea akaomba kusahihishwa
akapata neno sahihi, is natural, is humanity na ni kawaida kwa kila mtu
wewe kuianzishia thread inaonyesha
1.una chuki, huna la kumkosoa
2.una chuki, iko moyoni unatafuta tu slight mistake
JPM atabaki kuwa juu, atabaki kileleni with or without your criticism
Na wewe unajiondoa kwenye kundi la normal human, unaingia kwenye kundi la usiye na wazazi au watu wazima.Likely mama alikutupa au kukuzalia chooni, kisha kwa sababu aliathirika hakukunyonyesha ukakosea common sense katika kila ufanyacho
ukitaka kuamini nilichoandika, jiulize...faida ya hii thread ni nini?
mtakusanyana hapa watoto mliotupwa jalalani
Nawahi siti ya mbele.Acha kuabudu Binadamu mwenzako,na huko kileleni atakapobaki labda kileleni kwako na Mke wako
Sent using Jamii Forums mobile app
Changia mada siti ya mbele umechelewaNawahi siti ya mbele.
nilishawahi kuona video kwenye youtube ya mtu anajiita 'konki faya' au 'konki liquid'. Alikuwa anasema atabaki kuwa juu, atabaki kileleni. Lakini konki yeye suala lake kuu ni kupiga 'gambe'.Acha kuabudu Binadamu mwenzako,na huko kileleni atakapobaki labda kileleni kwako na Mke wako
Sent using Jamii Forums mobile app