Air hostage

Air hostage

Acha kuabudu Binadamu mwenzako,na huko kileleni atakapobaki labda kileleni kwako na Mke wako

Sent using Jamii Forums mobile app

mimi mwanamke bana, ungesema na mume wangu


sijaabudu mtu, niko genuine, that matter is so small kuanzishia thread, kuweni serious..msiongozwe na na chuk
mpaka wakenya munaipenda Tanzania
 
Unajua kwa nn watanzania hatusongi mbele ni kwa sababu ya watu kama wewe wapo kusubili mtu ujikwae waanze kuchrka kujifurahisha nafsi zao.

Kwasababu sioni ajabu mheshimiwa kukosea maana si mtaalam wa mambo hayo ya anga na misamiati yake ndio maana akaomba neno sahihi na kusahihishwa.

Acha fitna wewe.
Kujua maana ya neno 'hostage' siyo lazima uwe mtaalamu wa anga.
 
Ila alijistukia kuwa kakosea,hivyo akauliza au mnawaaitaage? Ndo wakamtajia.
 
kuna uhusiano sana,

kukuzwa kama chokoraa shida sana
Pole kwa masaibu yaliyokupata hadi ukawa chokoraa.
Usikate tamaa, bado ipo nafasi ya kujikwamua na kuepusha wanao wasiwe machokoraa kama wewe.
 
mimi mwanamke bana, ungesema na mume wangu


sijaabudu mtu, niko genuine, that matter is so small kuanzishia thread, kuweni serious..msiongozwe na na chuk
mpaka wakenya munaipenda Tanzania
Heh! Kumbe demu? Nimewaza kuhusu chokoraa wa kike roho imeniuma! Pole sana, nakuombea kwa Mungu akuponye katika masaibu hayo na awaepushe wanao yasiwakute.
 
Kwani alitamkaje...???
Ila alijistukia kuwa kakosea,hivyo akauliza au mnawaaitaage? Ndo wakamtajia.


""...IF PIANO IS OUT OF TUNE, THE MUSICIAN WILL FAIL, NO MATTER HOW MUCH OF A MUSICIAN HE MAY BE...""

""...IF PIANO IS OUT OF TUNE, THE MUSICIAN WILL FAIL, NO MATTER HOW MUCH OF A MUSICIAN HE MAY BE...""
 
Heh! Kumbe demu? Nimewaza kuhusu chokoraa wa kike roho imeniuma! Pole sana, nakuombea kwa Mungu akuponye katika masaibu hayo na awaepushe wanao yasiwakute.
😂😂😂😂😂😂😂 gullible
 
Back
Top Bottom