Acha kuabudu Binadamu mwenzako,na huko kileleni atakapobaki labda kileleni kwako na Mke wako
Sent using Jamii Forums mobile app
Kujua maana ya neno 'hostage' siyo lazima uwe mtaalamu wa anga.Unajua kwa nn watanzania hatusongi mbele ni kwa sababu ya watu kama wewe wapo kusubili mtu ujikwae waanze kuchrka kujifurahisha nafsi zao.
Kwasababu sioni ajabu mheshimiwa kukosea maana si mtaalam wa mambo hayo ya anga na misamiati yake ndio maana akaomba neno sahihi na kusahihishwa.
Acha fitna wewe.
ukweli upi?
Una uhakika hujaenda nje ya mada?
Pole kwa masaibu yaliyokupata hadi ukawa chokoraa.kuna uhusiano sana,
kukuzwa kama chokoraa shida sana
Heh! Kumbe demu? Nimewaza kuhusu chokoraa wa kike roho imeniuma! Pole sana, nakuombea kwa Mungu akuponye katika masaibu hayo na awaepushe wanao yasiwakute.mimi mwanamke bana, ungesema na mume wangu
sijaabudu mtu, niko genuine, that matter is so small kuanzishia thread, kuweni serious..msiongozwe na na chuk
mpaka wakenya munaipenda Tanzania
Ila alijistukia kuwa kakosea,hivyo akauliza au mnawaaitaage? Ndo wakamtajia.
πππππππ gullibleHeh! Kumbe demu? Nimewaza kuhusu chokoraa wa kike roho imeniuma! Pole sana, nakuombea kwa Mungu akuponye katika masaibu hayo na awaepushe wanao yasiwakute.
maana yake?πππππππ gullible
mkuu aliambiwa wanaitwajeπIla alijistukia kuwa kakosea,hivyo akauliza au mnawaaitaage? Ndo wakamtajia.