Air Tanzania among entities that borrowed money without approval, says PAC

Air Tanzania among entities that borrowed money without approval, says PAC

Matindi CEO wa ATCL atolewe haraka sana, sio mtaalam wa aviation kabisa, mtu hajui hata ndege ni nini technically, hatakiwi kupewa shirika la ndege hata kidogo, Matindi hana sifa hata kidogo ya kuwa Mkurugenzi wa ATCL. Hili tu ni kosa kisheria kwa kuzingatia TCAA Regulations za AOC and Admin. 2017, Accountable Manager anatakiwa awe mtaalam wa ndege kabisa.

CAG kasema wazi Bodi ya ATCL nzima haina mtaalam hata mmoja wa ndege, Matindi ni katibu wa Bodi hiyo, CAG baada ya kupitia CVs zao kaona wazi wote wababaishaji tupu, wanaidanganya serikali. Sasa jiulizeni, unaweka watu ATCL hakuna mtaalam hata mmoja in top management, alafu utegemee faida au kuendesha shirika kitaalam? Serikali imewekeza fedha nyingi sana in trillions, haitakiwi ATCL isimamiwe na watu sio aviation professionals.

Matindi ni wa kupiga chini haraka sana na bodi yote, JPM alimchagua tu sbb anatokea kanda ya Ziwa tu. Bila kuweka wataalam wa aviation ATCL, tusitegemee maajabu au faida, kila siku itakuwa ni hasara tu.

Mh. Rais wetu Mama Samia, inabidi afanye haraka management change ATCL haraka sana. Kuanzia CEO na Bodi yote kuvunja na kuteua wataalam wa aviation to run ATCL. Bila hivyo niseme ukweli, ATCL itazidi kuumia.
 
Tanzania haiwezi kuwa na maendeleo ya kweli kama hawa wahuni, majizi, mafisadi na wauaji yataendelea kupora chaguzi ili kung’ang’ania madaraka. Maccm ni KANSA inayolitafuna Tanzania taratibu.
Ni kweli,Ila ukweli ni kwamba hakuna upinzani wa kuupa nchi
 
Upinzani upo sana tu lakini UNADHIBITIWA na mtutu wa bunduki na mahakama. Maccm yanajua hayana hoja ya kushindana na upinzani hivyo yameamua kuvitumia vyombo vya dola ili kung’ang’ania madarakani.
Ni kweli,Ila ukweli ni kwamba hakuna upinzani wa kuupa nchi
 
Upinzani upo sana tu lakini UNADHIBITIWA na mtutu wa bunduki na mahakama. Maccm yanajua hayana hoja ya kushindana na upinzani hivyo yameamua kuvitumia vyombo vya dola ili kung’ang’ania madarakani.
Hivi chadema ichukue nchi,hebu niwekee Baraza la mawaziri
 
Kwa mawazo kama hayo, Wewe hufai kuwa mwana ccm, Ndani ya CCM hakuna tofauti kati ya chama na Serikali

Kinadharia upo sahihi, Kwenye uwanja wa mapambano na kutekeleza ilani Mkuu wa mkoa, Ras, DED na Wengine wote wapo chini ya mwenyekiti wa CCM Mkoa

Mwenyekiti wa ccm Mkoa akisema wewe mfanyakazi ulieteuliwa na Rais hufai, Unafukuzwa kazi

Ukitaka uwe Mfanyakazi safi mkoani heshimu sana wafanyakazi wa CCM wao ndio kila kitu na wasemaji wa Maendeleo ya Mkoa

Pascal, Mimi ni mwana ccm Nipo ndani ya chama, Ndio maana baadhi ya watu wanadai katiba mpya

Unataka katiba mpya ili udhibiti ccm, Thubutu hatuwezi kukubali kabisa

Unataka katiba mpya ili utenganishe mamlaka ya chama na Serikali, Thubutu hatuwezi kukubali

CCM ndio Mama Samia na Mama Samia ndio Mkuu wa nchi na Mwenyekiti wa chama ccm,

Huwezi tenganisha ccm yetu na Serikali, Wakati wa JK tulipata Taabu kwenye chaguzi sana baada ya kuweka chama nyuma, Makosa aliyarekebisha JPM tena

Utaalamu wako utatuonyesha baadae, Sisi ccm kwanza Halafu Serikali baadae

Bora utukane Serikali kuliko kutukana chama, Chama ndio mahakama, na Bunge

Maamuzi ya chama yana nguvu Mahakamani na Bungeni

Chama kikisema mihimili yote kimya yaani Baridi, Usichezee ccm kabisa
Hamna chochote CCM, acha kujimwambafai, JPM aliwavuruga wotee akawaweka kwenye kiganja chake cha mkono, na hakuna aliyethubutu kuleta fyoko! Akateua viongozi waandamizi kutoka upinzani na wanaharakati, mlibaki kusema pembeni tu, mbele yake mnajichekesha!! Kwenye uteuzi wa wagombea ubunge 2020 akaweka watu wake aliowataka yeye na sio wale waliotakwa na wanaCCM wengi, bado mlishangilia!! CCM ni waoga sana na ni watu wa kuangalia Mkiti na Rais anataka lipi nao wanacheza ngoma hiyoo
 
Kama haina Baraza la Mawaziri kwanini maccm wenye Baraza la Mawaziri WAHOFIE uchaguzi huru na wa haki!?

Hivi chadema ichukue nchi,hebu niwekee Baraza la mawaziri
 
Akili kubwa hii 👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾 Jamaa kaamua kujitoa ufahamu kupita kiasi ili kusifia yasiyostahili kusifiwa hatimaye lumumba wamuone wapenyexe jina lake Ikulu!! Mtu kama huyu hastahili kuitwa mzalendo hata chembe
Uzalendo wa kweli ni ile hali ya mtu kuipenda nchi yake kwa moyo wake wake wote. Uzalendo hukaa moyoni na utautambua kwa maneno na matendo ya mtu.

Jee wajua Pasco Mayalla baada tuu ya kuoa honey moon yangu niliifanyia London?. Wife akagomea London, tusirudi Bongo, na tuliishi UK, sasa nini kilinirudisha?. Ni Uzalendo tuu!.

Jee wajua mimi na family yangu tulihamia US?. Nini kilinitudisha bongo kwenye maisha ya dhiki?.
Ni Uzalendo tuu!.

Jee wajua baada tuu ya kumaliza LL.B (hons), pale UDSM, niliajiriwa na FCO kwa level ya LE-1. Find out salary scale ya mtu wa LE-1 ya FCO ni kiasi gani, halafu mtu huyo aliacha mwenyewe bila tatizo lolote na kuestablish kampuni yake ya PPR, atafute kuteuliwa ili awe nani apate nini?!.

Jee wajua PPR ilikuwa inapanga jengo la NHC, kwa kodi ya pango ya zaidi ya mshahara wa DC, ina staff 20!, mtu huyu autafute u DC for what?!.

Mimi ni mtu very objective na critical, kwenye mazuri nasifu bila kutegemea uteuzi na kwenye mapungufu na criticize with constructive criticism. Mtu anayeusaka uteuzi, atathubutu to criticize for what?!.
P
 
Kama haina Baraza la Mawaziri kwanini maccm wenye Baraza la Mawaziri WAHOFIE uchaguzi huru na wa haki!?
Sio ccm,dola ndiyo haitaki uchaguzi huru na wa haki kwa kuwa watanzania bado wajinga,wanaambiwa huyu ni fisadi,miaka 8 baadae fisadi huyohuyo anasafishwa na wanaambiwa wampigie Kura na wanakubali
 
  • Kicheko
Reactions: BAK
Hahahahahaha hiyo dola INATEULIWA na nani? Au INAJITEUA? 😂😂😂😂😂

Sio ccm,dola ndiyo haitaki uchaguzi huru na wa haki kwa kuwa watanzania bado wajinga,wanaambiwa huyu ni fisadi,miaka 8 baadae fisadi huyohuyo anasafishwa na wanaambiwa wampigie Kura na wanakubali
 
Hamna chochote CCM, acha kujimwambafai, JPM aliwavuruga wotee akawaweka kwenye kiganja chake cha mkono, na hakuna aliyethubutu kuleta fyoko! Akateua viongozi waandamizi kutoka upinzani na wanaharakati, mlibaki kusema pembeni tu, mbele yake mnajichekesha!! Kwenye uteuzi wa wagombea ubunge 2020 akaweka watu wake aliowataka yeye na sio wale waliotakwa na wanaCCM wengi, bado mlishangilia!! CCM ni waoga sana na ni watu wa kuangalia Mkiti na Rais anataka lipi nao wanacheza ngoma hiyoo
Ni kweli bora uwe muoga ukawa unapata pesa kuliko ukawa jasiri Halafu familia ikaishi maisha magumu

Ni kweli ccm sisi ni waoga tena waoga sana kwa mtu aliyeshika mpini au kiongozi wako

Bila kumuheshimu Baba au Mama nyumbani Unategemea watakupa pesa za matumizi

Mimi hata ukiniambia nikusifie siku nzima huku pesa inaingia Bank, Nitakusifu kwa nyimbo na mapambio mpaka majirani zako watashangaa utakatifu umepata wapi..

Siyo JPM tu alituvuruga hata Kikwete na Mkapa walituvuruga sana, Aliyekuwa juu lazima aheshimiwe maana anakupa Shibe

Sasa yupo Mama Samia. Lazima Mama tumsifie bila hivyo tutakula wapi mkuu

Hebu Fikiria Mama Samia akituma TRA kwako, Takukuru plus Wale Jamaa utafanya biashara au kazi kweli?

Maisha kuna muda jifanye mjinga na lofa, Ujasiri alikuwa nao Mkwawa na Chief Songea. Mimi Gussie kama nani mpaka nisimsifu aliye juu kwenye utawala
 
This is a mistake!, na hili la kudhani CCM ndie adui mkuu wa nchi yetu ndilo kosa kuu la upinzani Tanzania, kunakofanya Ikulu wataishia kuisikia huku CCM ikitawala milele!. Elections 2015 - Kuelekea 2015: CHADEMA, Don't Miss the Target, Adui Mkubwa sio CCM Bali ni ...
P
Wewe hatuwezi kukusikiliza tena ulishapoteza mvuto baada ya njaa kukupanda kichwani hauna maana yoyote tena mkuu, wapinzani wasipoingia ikulu wewe unapata hasara gani? kwa msomi kama wewe nilitegemea utetee maslahi ya nchi na siyo maslahi yako binafsi, aibu sn akina Mandela wangekuwa na njaa kama wewe wasingeheshimika duniani kote mpaka kupewa na heshima ya kombe la dunia.
 
Ipo siku WaTanzania wote tutaamua kwa pamoja kuondoa CCM madarakani. Eeh Mungu nijalie siku hiyo nihishuhudie!
 
Ni kweli bora uwe muoga ukawa unapata pesa kuliko ukawa jasiri Halafu familia ikaishi maisha magumu

Ni kweli ccm sisi ni waoga tena waoga sana kwa mtu aliyeshika mpini au kiongozi wako

Bila kumuheshimu Baba au Mama nyumbani Unategemea watakupa pesa za matumizi

Mimi hata ukiniambia nikusifie siku nzima huku pesa inaingia Bank, Nitakusifu kwa nyimbo na mapambio mpaka majirani zako watashangaa utakatifu umepata wapi..

Siyo JPM tu alituvuruga hata Kikwete na Mkapa walituvuruga sana, Aliyekuwa juu lazima aheshimiwe maana anakupa Shibe

Sasa yupo Mama Samia. Lazima Mama tumsifie bila hivyo tutakula wapi mkuu

Hebu Fikiria Mama Samia akituma TRA kwako, Takukuru plus Wale Jamaa utafanya biashara au kazi kweli?

Maisha kuna muda jifanye mjinga na lofa, Ujasiri alikuwa nao Mkwawa na Chief Songea. Mimi Gussie kama nani mpaka nisimsifu aliye juu kwenye utawala
Then usiseme CCM ni kila kitu and wapo juu ya serikali!! Kwa upande wangu napenda mtu anayeniheshimu kuliko anayeniogopa
 
Then usiseme CCM ni kila kitu and wapo juu ya serikali!! Kwa upande wangu napenda mtu anayeniheshimu kuliko anayeniogopa
Mkono mtupu haulambwi mkuu

Nakuheshimu ili nipate kitu gani? Lazima uwe na kitu cha kutoa ili uheshimike, Kwa ufupi uwe na connection na mipango

Mamlaka ni mamlaka lazima iogopwe, Mamlaka ina nguvu, Mamlaka inaweza kukupoteza sekunde moja

Heshimu mamlaka na hata maandiko ya vitabu vya dini yanaonya watu wasioheshimu mamlaka

Sisi tupo tunatafuta pesa za wajukuu wetu, Mnaotafuta ujasiri Endeleeni kutafuta ujasiri

Sisi ni waoga na Tutaendelea kuheshimu walioshika mpini, Tutawasifu na kuwapigia makofi kikubwa hatulali njaa

Wewe kaa na ujasiri wako
 
Mkono mtupu haulambwi mkuu

Nakuheshimu ili nipate kitu gani? Lazima uwe na kitu cha kutoa ili uheshimike, Kwa ufupi uwe na connection na mipango

Mamlaka ni mamlaka lazima iogopwe, Mamlaka ina nguvu, Mamlaka inaweza kukupoteza sekunde moja

Heshimu mamlaka na hata maandiko ya vitabu vya dini yanaonya watu wasioheshimu mamlaka

Sisi tupo tunatafuta pesa za wajukuu wetu, Mnaotafuta ujasiri Endeleeni kutafuta ujasiri

Sisi ni waoga na Tutaendelea kuheshimu walioshika mpini, Tutawasifu na kuwapigia makofi kikubwa hatulali njaa

Wewe kaa na ujasiri wako
Inaonekana unaweza kufanya lolote lile ili mradi tu mkono uende kinywani
 
Kwa mawazo kama hayo, Wewe hufai kuwa mwana ccm, Ndani ya CCM hakuna tofauti kati ya chama na Serikali

Kinadharia upo sahihi, Kwenye uwanja wa mapambano na kutekeleza ilani Mkuu wa mkoa, Ras, DED na Wengine wote wapo chini ya mwenyekiti wa CCM Mkoa

Mwenyekiti wa ccm Mkoa akisema wewe mfanyakazi ulieteuliwa na Rais hufai, Unafukuzwa kazi

Ukitaka uwe Mfanyakazi safi mkoani heshimu sana wafanyakazi wa CCM wao ndio kila kitu na wasemaji wa Maendeleo ya Mkoa

Pascal, Mimi ni mwana ccm Nipo ndani ya chama, Ndio maana baadhi ya watu wanadai katiba mpya

Unataka katiba mpya ili udhibiti ccm, Thubutu hatuwezi kukubali kabisa

Unataka katiba mpya ili utenganishe mamlaka ya chama na Serikali, Thubutu hatuwezi kukubali

CCM ndio Mama Samia na Mama Samia ndio Mkuu wa nchi na Mwenyekiti wa chama ccm,

Huwezi tenganisha ccm yetu na Serikali, Wakati wa JK tulipata Taabu kwenye chaguzi sana baada ya kuweka chama nyuma, Makosa aliyarekebisha JPM tena

Utaalamu wako utatuonyesha baadae, Sisi ccm kwanza Halafu Serikali baadae

Bora utukane Serikali kuliko kutukana chama, Chama ndio mahakama, na Bunge

Maamuzi ya chama yana nguvu Mahakamani na Bungeni

Chama kikisema mihimili yote kimya yaani Baridi, Usichezee ccm kabisa
Ndio maana Wakinga tuliambiwa ni Wajinga kwenye uzi wako wa jana. Mawazo kama haya uliyoyaandika yana akisi hìvyo. Yaani unashadadia UCCM kuliko Usitawi wa Taifa. You essentially steal everything so long is within your Domain!!! Nenda kageme Ulanzi tu
 
Inaonekana unaweza kufanya lolote lile ili mradi tu mkono uende kinywani
Ohooo sio tu kufanya lolote, Tunatekeleza na kazi inaendelea

Lazima baadhi ya watu waumie ili Taifa lisonge mbele, Wewe ni sehemu ndogo ya watu Milioni 60 wa Tanzania

Kama huna Mamlaka huna athari yeyote kwa Taifa hili

Mamlaka tunaiheshimu sana sana kwa kuwa inatupa usalama na Pesa

Bila usalama hakuna pesa, Ukiwa na Pesa hakuna usalama utakula bata kwa hofu kubwa

Mambo ya ujasiri yamepitwa na wakati, Huoni wale Makomandoo kwenye kesi ya Mbowe unadhani wale ni dhaifu au?
 
This is a mistake!, na hili la kudhani CCM ndie adui mkuu wa nchi yetu ndilo kosa kuu la upinzani Tanzania, kunakofanya Ikulu wataishia kuisikia huku CCM ikitawala milele!. Elections 2015 - Kuelekea 2015: CHADEMA, Don't Miss the Target, Adui Mkubwa sio CCM Bali ni ...
P
Hapo kweny kutawala milele ndipo nnapoamin kbs ni muumini na mwanachama kindakindaki wa siisiiemu, haiwezekanagi kwa akili ya kawaida mtu akwambie et watu flan au chama flan watatawala milele? How
 
Back
Top Bottom