Air Tanzania among entities that borrowed money without approval, says PAC

Air Tanzania among entities that borrowed money without approval, says PAC

Ndio maana Wakinga tuliambiwa ni Wajinga kwenye uzi wako wa jana. Mawazo kama haya uliyoyaandika yana akisi hìvyo. Yaani unashadadia UCCM kuliko Usitawi wa Taifa. You essentially steal everything so long is within your Domain!!! Nenda kageme Ulanzi tu
Mimi niliingia ccm na nilishatoa sababu zangu, Lengo ni kunyoosha mambo binafsi ya biashara ndio lengo kuu

Sikwenda ccm kufuata siasa za ujamaa mimi

Mimi sio mjamaa, Nafanya biashara na mabepari

Hivyo pale ambapo naona nitapata pesa na kulinda pesa napaheshimu sana

Naheshimu ccm kwa kuwa bila ccm ningepata usumbufu wanopata baadhi ya watu wanaotumia akili

Jifanye lofa na mpumbavu kufanikisha mambo yako, Elimu ni makaratasi tu tunayopata darasani

Nina Hakika kuna muda yakupasa kuweka akili mfukoni ili upate pesa mkuu

Wenye Mamlaka ni ccm, Wewe nani upingane na aliyeshika makali

Siwezi kuharibu kazi na Biashara zangu kisa kuwatetea watanzania ambao hawajielewi

Siku wakijielewa na Mimi nitapiga u turn kuwa unga mkono, Hata wewe nitakuunga mkono mkibadilika
 
Mimi niliingia ccm na nilishatoa sababu zangu, Lengo ni kunyoosha mambo binafsi ya biashara ndio lengo kuu

Sikwenda ccm kufuata siasa za ujamaa mimi

Mimi sio mjamaa, Nafanya biashara na mabepari

Hivyo pale ambapo naona nitapata pesa na kulinda pesa napaheshimu sana

Naheshimu ccm kwa kuwa bila ccm ningepata usumbufu wanopata baadhi ya watu wanaotumia akili

Jifanye lofa na mpumbavu kufanikisha mambo yako, Elimu ni makaratasi tu tunayopata darasani

Nina Hakika kuna muda yakupasa kuweka akili mfukoni ili upate pesa mkuu

Wenye Mamlaka ni ccm, Wewe nani upingane na aliyeshika makali

Siwezi kuharibu kazi na Biashara zangu kisa kuwatetea watanzania ambao hawajielewi

Siku wakijielewa na Mimi nitapiga u turn kuwa unga mkono, Hata wewe nitakuunga mkono mkibadilika
Sio wewe tu
 
Mkuu Erythrocyte , comments nyingine ni unajichumia tuu dhambi bure, zile ndege ni za serikali, ATC inakodishiwa tuu, kwa jinsi ATC ilivyo hoi, haiwezekani mfufuzi huyo huyo akaja kuitafuna pesa ya ATC!. Labda ungesema watu wamepiga pesa kwenye manunuzi, but not kwenye matumizi!.
P
Watu hawasomi ripoti hawaelewi Atcl wanaowadai ni serikali kupitia wakala wa ndege za serikali
 
Ohooo sio tu kufanya lolote, Tunatekeleza na kazi inaendelea

Lazima baadhi ya watu waumie ili Taifa lisonge mbele, Wewe ni sehemu ndogo ya watu Milioni 60 wa Tanzania

Kama huna Mamlaka huna athari yeyote kwa Taifa hili

Mamlaka tunaiheshimu sana sana kwa kuwa inatupa usalama na Pesa

Bila usalama hakuna pesa, Ukiwa na Pesa hakuna usalama utakula bata kwa hofu kubwa

Mambo ya ujasiri yamepitwa na wakati, Huoni wale Makomandoo kwenye kesi ya Mbowe unadhani wale ni dhaifu au?
Who determines hawa waumie, wale wasiumie? Hakuna asiyeheshimu mamlaka, ila kuheshimu mamlaka haina maana kujifedhehesha na kupoteza utu wako! Ujasiri haujawahi kupitwa na wakati
 
Mkuu Kishina cha Mshahara, Salary Slip , civic education inahitajika sana ndani ya nchi yetu, jifunze kutenganisha chama na watu, sio kila kinachofanywa na watu ni CCM umefanya!. CCM kama chama kinafanya mambo yake ya chama kama chama kingine chochote cha siasa. Kimetengeneza ilani yake, kikainadi, kikakubaliwa kwa kupewa ridhaa na wananchi hivyo kimeunda serikali kuitekeleza ile ilani. Katika utekelezaji, CCM sio mtekelezaji, CCM ni mtazamaji tuu na sio mtendaji, mtendaji ni serikali na msimamizi ni Bunge. Kukifanyika madudu, anayefanya madudu sio CCM, bali mtekelezaji ambaye ni serikali.
Tenganisha CCM kama chama chenye ilani iliyoshinda na serikali ya CCM inayotekeleza ilani, ni vitu viwili tofauti.
P
Una uhakika kwamba imepewa ridhaa na wananchi?
 
Ni kweli,Ila ukweli ni kwamba hakuna upinzani wa kuupa nchi
Ni ujinga tuu mmejingea kwenye mavichwa yenu eti kwamba nchi nzima haina upinzani wakati daily mnaona mambo mabaya na mateso wanayoyapata wapinzani.
 
Mkuu Erythrocyte , comments nyingine ni unajichumia tuu dhambi bure, zile ndege ni za serikali, ATC inakodishiwa tuu, kwa jinsi ATC ilivyo hoi, haiwezekani mfufuzi huyo huyo akaja kuitafuna pesa ya ATC!. Labda ungesema watu wamepiga pesa kwenye manunuzi, but not kwenye matumizi!.
P
Uko sahihi

ATCL haikopesheki kabisa

Ripoti ya CAG imepotoka ilitakiwa itamke wazi bila kumumunya maneno kuwa serikali ndio ilikopa kununua ndege

CAG kwa nini anasukumia zigo kwa ATCL? Wakati ndege zile mpya zote ni mali ya serikali sio ATCL? Yaani serikali ikope ndege zisomeke hati kwa jina la serikali halafu zigo asukumiwe ATCL SIO SAHIHI

Mkaguzi wa serikali hiyo ripoti akaiandike upya
 
AICC inafanya biashara gani mpaka ikope pesa, ni vyema AICC ikodishwe kwa mwekezaji toka nje ya Afrika au Uarabuni.
AICC ipo ipo tu kimkakati kulinda ajira za watu pale lakini kimsingi hakuna ufanisi kwenye taasisi ile. Rwanda ndio imechukua majukumu ya AICC kwa sasa na hii ni baada ya kuona AICC inapwaya sana.
Hivi kulikuwa na sababu gani ya kujenga ukumbi mwingine wa JNICC kama tawi la AICC badala kuiboresha? Ikumbukwe Nairobi waimezea mate hiyo keki ikiwemo kutaka makao makuu ya Jumuia ya Afrika Mashariki. Hivi watanzania huwa tunafeli wapi?.
 
Matindi CEO wa ATCL atolewe haraka sana, sio mtaalam wa aviation kabisa, mtu hajui hata ndege ni nini technically, hatakiwi kupewa shirika la ndege hata kidogo, Matindi hana sifa hata kidogo ya kuwa Mkurugenzi wa ATCL. Hili tu ni kosa kisheria kwa kuzingatia TCAA Regulations za AOC and Admin. 2017, Accountable Manager anatakiwa awe mtaalam wa ndege kabisa.

CAG kasema wazi Bodi ya ATCL nzima haina mtaalam hata mmoja wa ndege, Matindi ni katibu wa Bodi hiyo, CAG baada ya kupitia CVs zao kaona wazi wote wababaishaji tupu, wanaidanganya serikali. Sasa jiulizeni, unaweka watu ATCL hakuna mtaalam hata mmoja in top management, alafu utegemee faida au kuendesha shirika kitaalam? Serikali imewekeza fedha nyingi sana in trillions, haitakiwi ATCL isimamiwe na watu sio aviation professionals.

Matindi ni wa kupiga chini haraka sana na bodi yote, JPM alimchagua tu sbb anatokea kanda ya Ziwa tu. Bila kuweka wataalam wa aviation ATCL, tusitegemee maajabu au faida, kila siku itakuwa ni hasara tu.

Mh. Rais wetu Mama Samia, inabidi afanye haraka management change ATCL haraka sana. Kuanzia CEO na Bodi yote kuvunja na kuteua wataalam wa aviation to run ATCL. Bila hivyo niseme ukweli, ATCL itazidi kuumia.
Unachokisema ni kweli ... Mashirika haya yenye high risk in terms of operation inabidi kuwe na mtaalamu kabisa lets say hata rubani mstaafu
 

Air Tanzania among entities that borrowed money without approval, says PAC​



THURSDAY OCTOBER 21 2021​

ATCL pic

Summary

  • Another institution named by PAC is the Arusha International Conference Center (AICC).

The citizen pic

By The Citizen Reporter
More by this Author

Dodoma. Air Tanzania Company Limited (ATCL, is among institutions that have been named by the Parliamentary Accounts Committee (PAC) that borrowed Sh896 billion without the approval of the Ministry of Finance and Planning as required by law.

Another institution named by PAC is the Arusha International Conference Center (AICC).
The Vice Chairman of the committee, Mr Japhet Hasunga said this on Thursday, October 21, 2021 during an interview with The Citizen after reviewing the report of the Controller and Auditor General (CAG) for the year 2019/20.

Mr Hasunga said they have also noted the lack of a proper record keeping for the national debt where some debts are either not visible or the records are not accurate.

"All institutions that borrowed money without the ministry’s approval are required to repay the debts because we have identified they were not approved by the Finance and planning ministry,” Mr Hasunga said.
He did not however say when exactly the said monies were borrowed.

In addition, Hasunga said the committee found that the criteria used to assess the sustainability of the debt was well established.
“The government said criteria would change as Tanzania is currently classified as a middle income country,” he said.

It was the same report that identified that Air Tanzania Ltd among the loss making government entities.
During his report presentation at the State House Dodoma, CAG Charles Kichere said one of the loss-making companies that came to the forefront was ATCL, emerging that the carrier has incurred losses worth Sh364 billion in the past 5 years.

CAG Kichere said ATCL flights traveling abroad run the risk of being impounded because of the huge debts and the related interests.

"During the pandemic, many aircraft were parked but ATCL was paying rental fees regardless of whether the aircrafts were not operating due to the Covid 19 challenge. This was due to the lease agreement between Tanzania Government Flights Agency and ATCL. ‘There was no clause in the agreement that says when the aircraft is not functioning we should not pay,”CAG Kichere was quoted.



He said between March and June 2020, ATCL was charged Sh15.4 billion for aircraft rental while they were not providing services and the agency also inherited huge debts with interest.
Hii njemba huwaga ni kiazi......
inajua kulia lia tu.....
mkewe atakuwa na tabu sana manake ni nyenye
 
Mkuu Kishina cha Mshahara, Salary Slip , civic education inahitajika sana ndani ya nchi yetu, jifunze kutenganisha chama na watu, sio kila kinachofanywa na watu ni CCM umefanya!. CCM kama chama kinafanya mambo yake ya chama kama chama kingine chochote cha siasa. Kimetengeneza ilani yake, kikainadi, kikakubaliwa kwa kupewa ridhaa na wananchi hivyo kimeunda serikali kuitekeleza ile ilani. Katika utekelezaji, CCM sio mtekelezaji, CCM ni mtazamaji tuu na sio mtendaji, mtendaji ni serikali na msimamizi ni Bunge. Kukifanyika madudu, anayefanya madudu sio CCM, bali mtekelezaji ambaye ni serikali.
Tenganisha CCM kama chama chenye ilani iliyoshinda na serikali ya CCM inayotekeleza ilani, ni vitu viwili tofauti.
P
P.msimamizi wa serikali ni bunge au ni nani na kamani bunge hilo bunge limetokana na chama gani.ni kweli serikali ni mtekelezaji lkn hiyo serikali imeundwa na nani?
 
Kwenye midege na kulazimisha serikali ifanye biashara tulimpinga JPM, yaani tunaunguza ma trilioni ya pesa kwenye miradi ambayo tumekwisha jaribu huko nyuma na kufeli.

Kurudia kosa ni kosa kubwa, JPM alipotoka mno kwenye hili, na SSH naye anaendelea kushupaza shingo na kununua midege mingine. Tuachane na huu upuuzi, tuache sekta binafsi ifanye biashara.
Tatizo tunaamua tu kufuata ushabiki wa vyama kama misukule. Precision amekuwapo miaka nenda rudi hivi nchi imesogea wapi katika usafiri wa anga? ATCL sasa hivi wanatupeleka mikoani na nchi za nje na sio kikombe cha kujazia maji mtungi wa Kenya Airways. Nafikiri swala lakutilia mkazo ni jinsi ATCL inavyotakiwa kuendeshwa ili iwe na tija na si vinginevyo. Kinyume chake tutabaki gulio la nchi nyingine. Angalia Ilani za CCM, UKAWA/CHADEMA na ACT Wazalendo za mwaka 2015 kuhusu ATCL ndio utaelewa Watanzania ni misukule. Ilani zao za mwaka 2020 hawakugusia kabisa ATCl kwa sababu tayari Magu alishamaliza!

Kwa hiyo ukijaribu na kufeli mara moja au mara kumi then unabaki kulia tu au kujifunza nini makosa yako na kujaribu tena? Kama alivyosema Paschal, nadhani huyu Makamu Mwenyekiti wa PAC hana hata ufahamu wa ATCL pamoja na kwamba alikuwa Waziri maana tunaambiwa ATCL sio wamiliki wa ndege kwa hiyo swala la kukopa ni Serikali kama lipo maana tuliambiwa ndege ni cash purchasing. Hapo inabidi tujiulize kama huyu aliyekuwa katika baraza la mawaziri hajui hili basi kama wengi wanvyosema kulikuwa na issue ya Governance kama alivyosema Katibu mkuu Kiongozi siku ya kuapishwa kwake au ambavyo Mama Samia amekuwa akisisitiza kuhusu kuondoa vibanda ndani ya Serikali.
 
Back
Top Bottom