Air Tanzania among entities that borrowed money without approval, says PAC

Air Tanzania among entities that borrowed money without approval, says PAC

Mkuu Erythrocyte , comments nyingine ni unajichumia tuu dhambi bure, zile ndege ni za serikali, ATC inakodishiwa tuu, kwa jinsi ATC ilivyo hoi, haiwezekani mfufuzi huyo huyo akaja kuitafuna pesa ya ATC!. Labda ungesema watu wamepiga pesa kwenye manunuzi, but not kwenye matumizi!.
P

Mkuu una moyo kweli kuwasemea hawa wanunuzi wa ndege. Btw ATCL ilifufuliwa au imefufuliwa? Tunaongea shirika la umma kufufuliwa - as a going concern in its real sense.
 
Mkuu Erythrocyte , comments nyingine ni unajichumia tuu dhambi bure, zile ndege ni za serikali, ATC inakodishiwa tuu, kwa jinsi ATC ilivyo hoi, haiwezekani mfufuzi huyo huyo akaja kuitafuna pesa ya ATC!. Labda ungesema watu wamepiga pesa kwenye manunuzi, but not kwenye matumizi!.
P

Kaka! Wewe ni muumini wa collective responsibility na umeisema sana humu. Ni bahati mbaya kuwa JPM hawezi kuchomoka humu kama serikali inanunua ndege na kuzikabidhi kwa ATCL huku pia akiteua mkurugenzi mkuu wa ATCL ili aiendeshe!! Iwe ni katika manunuzi au matumizi, mwisho wa siku ni pesa imepigwa!!

Kwa dhana ya collective responsibility, serikali ndio ikiyochukua jukumu la kufufua ATCL. Haiwezi kujitoa katika lawama na hasa kama ilihamishiwa kwenye kundi la mashirika yasiyochunguzwa na CAG kipindi cha yule profesa!
 
Air Tanzania among entities that borrowed money without approval, says PAC

THURSDAY OCTOBER 21 2021​

ATCL pic

Summary

  • Another institution named by PAC is the Arusha International Conference Center (AICC).

The citizen pic

By The Citizen Reporter
More by this Author

Dodoma. Air Tanzania Company Limited (ATCL, is among institutions that have been named by the Parliamentary Accounts Committee (PAC) that borrowed Sh896 billion without the approval of the Ministry of Finance and Planning as required by law.

Another institution named by PAC is the Arusha International Conference Center (AICC).
The Vice Chairman of the committee, Mr Japhet Hasunga said this on Thursday, October 21, 2021 during an interview with The Citizen after reviewing the report of the Controller and Auditor General (CAG) for the year 2019/20.

Mr Hasunga said they have also noted the lack of a proper record keeping for the national debt where some debts are either not visible or the records are not accurate.

"All institutions that borrowed money without the ministry’s approval are required to repay the debts because we have identified they were not approved by the Finance and planning ministry,” Mr Hasunga said.
He did not however say when exactly the said monies were borrowed.

In addition, Hasunga said the committee found that the criteria used to assess the sustainability of the debt was well established.
“The government said criteria would change as Tanzania is currently classified as a middle income country,” he said.

It was the same report that identified that Air Tanzania Ltd among the loss making government entities.
During his report presentation at the State House Dodoma, CAG Charles Kichere said one of the loss-making companies that came to the forefront was ATCL, emerging that the carrier has incurred losses worth Sh364 billion in the past 5 years.

CAG Kichere said ATCL flights traveling abroad run the risk of being impounded because of the huge debts and the related interests.

"During the pandemic, many aircraft were parked but ATCL was paying rental fees regardless of whether the aircrafts were not operating due to the Covid 19 challenge. This was due to the lease agreement between Tanzania Government Flights Agency and ATCL. ‘There was no clause in the agreement that says when the aircraft is not functioning we should not pay,”CAG Kichere was quoted.


He said between March and June 2020, ATCL was charged Sh15.4 billion for aircraft rental while they were not providing services and the agency also inherited huge debts with interest.
Very sad as the flights travelling abroad run the risk of being impounded because of the huge debts and the related interests.
 
Matindi CEO wa ATCL atolewe haraka sana, sio mtaalam wa aviation kabisa, mtu hajui hata ndege ni nini technically, hatakiwi kupewa shirika la ndege hata kidogo, Matindi hana sifa hata kidogo ya kuwa Mkurugenzi wa ATCL. Hili tu ni kosa kisheria kwa kuzingatia TCAA Regulations za AOC and Admin. 2017, Accountable Manager anatakiwa awe mtaalam wa ndege kabisa.

CAG kasema wazi Bodi ya ATCL nzima haina mtaalam hata mmoja wa ndege, Matindi ni katibu wa Bodi hiyo, CAG baada ya kupitia CVs zao kaona wazi wote wababaishaji tupu, wanaidanganya serikali. Sasa jiulizeni, unaweka watu ATCL hakuna mtaalam hata mmoja in top management, alafu utegemee faida au kuendesha shirika kitaalam? Serikali imewekeza fedha nyingi sana in trillions, haitakiwi ATCL isimamiwe na watu sio aviation professionals.

Matindi ni wa kupiga chini haraka sana na bodi yote, JPM alimchagua tu sbb anatokea kanda ya Ziwa tu. Bila kuweka wataalam wa aviation ATCL, tusitegemee maajabu au faida, kila siku itakuwa ni hasara tu.

Mh. Rais wetu Mama Samia, inabidi afanye haraka management change ATCL haraka sana. Kuanzia CEO na Bodi yote kuvunja na kuteua wataalam wa aviation to run ATCL. Bila hivyo niseme ukweli, ATCL itazidi kuumia.
Mkuu Jay One inaonekana unamjua vilivyo Matindi. Weka CV yake hapa tukusaidie kudadavua kama anafaa au hapana
 
P.msimamizi wa serikali ni bunge au ni nani na kamani bunge hilo bunge limetokana na chama gani.ni kweli serikali ni mtekelezaji lkn hiyo serikali imeundwa na nani?
Mkuu katitu, ndio maana nimesema somo la elimu ya uraia, inahitajika sana kwa wengi wetu, hawawezi kutofautisha chama, serikali na Bunge, hata ikiwa CCM ndio chama tawala, hivyo ni serikali ya CCM, na Bunge ni Bunge la CCM, lakini bado serikali sio CCM wala Bunge sio CCM. Chama ni mpangaji tuu, serikali ni mtekelezaji, Bunge ni msimamizi, kitu ambacho ni tatizo, ni kitu kinachoitwa "the principle of separation of powers, checks and balance". Serikali inaundwa kwa mihimili mitatu, Serikali, Bunge na Mahakama, kwenye mihimili yote hakuna mambo ya uchama, Chama kinatumika tuu kupata uwakilishi na kushinda uchaguzi kwa kutumia ilani yake. Kiongozi akiisha chaguliwa, hawi tena kiongozi wa hicho chama, anakuwa ni kiuongozi wa umma, hivyo rais wa JMT, wabunge, madiwani, sio rais wa CCM au wabunge sio wabunge wa CCM etc, hivyo hoja kuwa CCM imefanya hiki au kile ni hoja muflis. Mimi kosa langu kubwa humu siku zote kuusema ukweli mchungu, watu wasiopenda kuusikia!. Tanzania bado hatuna any serious opposition ya kuiondoa CCM madarakani, hivyo ninapowaambia wapinzani makosa yao, hawaamini, anayewakosesha wapinzani kuingia ikulu, pamoja na mambo mengine, ni ujinga wa kuamini kuwa adui yao mkubwa ni CCM ndiye anayewakosesha Ikulu, nakutolea mfano mzuri kabisa, wa numbers don't lie.
Ule uchaguzi wa 2010, CCM ilijinasibu ina wanachama milioni 3. Tanzania ina watu milioni 55, watu wenye sifa za kupiga kura ni watu milioni 35, lakini watu waliojiandikisha kupiga kura ni watu milioni 20 tuu. Mtu mwenye akili lazima ajiulize hawa watu milioni 15 ambao hawakujiandikisha kwa nini?. Ukosefu wa elimu ya uraia. Kati ya hao milioni 20, miongoni mwao ni wale milioni 3 wa CCM. Siku ya kupiga kura, watu waliojitokeza kupiga kura ni watu milioni 8 tuu, hii maana yake wale watu milioni 3 wa CCM ni miongoni mwao. Matokeo ya uchaguzi, ni JK akachaguliwa kwa kura milioni 5!. Kati ya hizo, ni zile kura milioni 3 zao, na kura milioni 2 za Watanzania wengine. Mtu yoyote serious, atajiuliza kwanini watu milioni 12 wamejiandikisha, lakini hawakujitokeza kupiga kura?.

Toka 2015-2020, nimekuwa nikitoa elimu ya uraia bure humu JF, nikawashauri opposition, msihangaike na hao milioni 3 wa CCM, watafuteni wale milioni 15 ambao hawakujiandikisha, na wale milioni 12 waliojiandikisha, lakini hawakujitokeza.

CHADEMA, Don't Miss the Target, Adui Mkubwa sio CCM Bali ni

https://www.jamiiforums.com/threads...get-adui-mkubwa-sio-ccm-bali-ni.310532/page-7
P.
 
Mkuu Erythrocyte , comments nyingine ni unajichumia tuu dhambi bure, zile ndege ni za serikali, ATC inakodishiwa tuu, kwa jinsi ATC ilivyo hoi, haiwezekani mfufuzi huyo huyo akaja kuitafuna pesa ya ATC!. Labda ungesema watu wamepiga pesa kwenye manunuzi, but not kwenye matumizi!.
P

Pesa imepigwa kwenye manunuzi ,yaani ni DJ(Dotto James) na JIWE ndio walikuwa wanunuzi wakuu ,hakuna kupitia bungeni wala hazina halafu cash ili kila mtu afe na chake.
 
Lengo la atcl ilikuwa kuleta watalii wengi nchi Iingize kipato je imefanikiwa? Maana kila siku tunaona watalii wakishushwa Kia na Zanzibar na Ndege za wazungu ! Ushauri bora Ndege zote ziuzwe ela iende Kwenye miradi ya maendeleo kama barabara , reli , bandari, hospitali, umeme, maji nk

Ttcl nayo iuzwe yote.

Billioni 896 ni ela nyingi hizo ukichanganya na Bei za ndege zote kama trilioni 2.3 hizo ela zinatosha kumalizia vipande vilivyobaki vya sgr Dar to Mwanza .
 
wizi , utapeli , umalaya na ujambazi ulipungua kwa kuwa watu walikuwa busy kuzalisha ila kwa sasa tutaipata fresh.
 
Back
Top Bottom