kapyoko
JF-Expert Member
- May 10, 2022
- 1,365
- 2,134
[emoji23][emoji23][emoji23]hasa serikali ya TanzaniaSerikali na biashara ni maji na mafuta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]hasa serikali ya TanzaniaSerikali na biashara ni maji na mafuta
Wale wanaakili sio hawa wetu shirika kila siku linaendeshwa kwa hasara...utawasikia atcl imepata faida billioni 200What about Ethiopian Airlines? Mbona ni 100% owned by government….
Nadhani suala la choo ni jukumu la mzabuni wa huduma za ndege ambaye kwa ATCL lazima atakuwa ni ndugu wa mkubwa wa shirika au hata ndugu wa kiongozi huko juu serikalini hivyo kumkemea mzabuni huyu kunaweza kugharimu ajira ya mkemeaji.Tarehe 30-12-2023 nimepanda ndege yenu iliyokuwa inatoka Dar es Salaam kwenda Guangzhou iliyopewa ruti namba TC 402.
Button za viti ambazo utumika kuweka kiti kwa mkao anaoutaka mtumiaji nyingi zimeharibika.Hili linapelekea msafiri kutokuwa na uwezo wa kuweka kiti atakavyo na kupelekea kero kubwa kwa wasafiri waliopewa siti ambazo hizo button ni mbovu.
Vyoo vinatoa harufu,nunueni pafyumu za kupulizia kwenye vyoo vya ndege.
Nawashauri fungueni ukurasa hapa JF hili tuweze kuwa na fursa ya kuwashauri kwa minajili ya kuboresha huduma ya shirika letu.