Air Tanzania fanyeni marekebisho ya ndege zenu

Mkuu acha ajuaji usio na maana kitu kikikushindi omba msaada kwa wahusika ndege mpya ina mwezi mmoja tu unaleta ujuaji wako hapa ili tujue na wewe ulienda china.
 
Nadhani suala la choo ni jukumu la mzabuni wa huduma za ndege ambaye kwa ATCL lazima atakuwa ni ndugu wa mkubwa wa shirika au hata ndugu wa kiongozi huko juu serikalini hivyo kumkemea mzabuni huyu kunaweza kugharimu ajira ya mkemeaji.

Zaidi, hiyo route ATCL ndiyo ina ukiritimba nayo kwenda na kurudi Dar, tabia ya ukiritimba ni kwamba kwa kuwa hakuna ushindani basi unafanya kazi chini ya kiwango kwa faida kubwa.

Hii ndiyo hali inayojiri TANESCO, TPA, TRC, DAWASA na sasa tunaenda pia kushuhudia hiyo hali PSSSF baada ya merger.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…