Billal Saadat
Senior Member
- Nov 30, 2022
- 169
- 358
Ndege zinazotumiwa na ATCL zinamilikiwa na Serikali kupitia TGFA. Manunuzi ya ndege hufanywa na TGFA na kisha kukodishwa kwa ATCL. Hivyo, ATCL haihusiki na mchakato wa manunuzi ya ndege.
Eng. Matindi haihusiki kabisa na ununuzi wa ndege hayupo kwenye mchakato kuna wahuni wachache walijaribu kufanya ujinga huo nao wameshughulikiwa ipasavyo wapo kwenye mikono thabiti ya TAKUKURU uzuri siku hizi taarifa zinatoka na watu wameshughulikiwa.
Eng. Matindi haihusiki kabisa na ununuzi wa ndege hayupo kwenye mchakato kuna wahuni wachache walijaribu kufanya ujinga huo nao wameshughulikiwa ipasavyo wapo kwenye mikono thabiti ya TAKUKURU uzuri siku hizi taarifa zinatoka na watu wameshughulikiwa.