GwaB
JF-Expert Member
- Mar 19, 2014
- 4,291
- 5,786
Lakini Bitozo Hangaya si alifanya kazi na Magu... Tena kwa karibu sana? 😳Basi wrong timing. Maana hapo alikuwa anatafutwa Matindi. Ikumbukwe huyu bwana alitolewa nje ya nchi na Magufuli. Na kama tujuavyo mfumo wa sasa unaoinjiniwa na mama hauwataki watu waliofanya kazi na Magu.