Lakini Bitozo Hangaya si alifanya kazi na Magu... Tena kwa karibu sana? 😳Basi wrong timing. Maana hapo alikuwa anatafutwa Matindi. Ikumbukwe huyu bwana alitolewa nje ya nchi na Magufuli. Na kama tujuavyo mfumo wa sasa unaoinjiniwa na mama hauwataki watu waliofanya kazi na Magu.
That is a very reactive approach, yani ana react baada ya wizi kutokea, hajaziba chanzo cha wizi kutokea.
Ndiyo maana nasema hata yeye hana mkakati.
Hilo moja kaliibua, mangapi hajayajua na hayo ambayo hajayajua sheria itatusaidiaje kama tunategeme mpaka rais aone ndiyo sheria ifuate mkondo wake?
There is no systemic reform or strategy.
Kukaa kimya na kusema si hoja, kwani wangapi wamesema kabla yake?Angeweza kukaa kimya mpaka amesema unajua ni lini jambo limetendeka, Unajua kama muhusika tayari anaweza kuwa chini ya mikono ya sheria.?
Wakodisheni ndege hizo Precision Air kama mnataka kuona faida.Ndege zinazotumiwa na ATCL zinamilikiwa na Serikali kupitia TGFA. Manunuzi ya ndege hufanywa na TGFA na kisha kukodishwa kwa ATCL. Hivyo, ATCL haihusiki na mchakato wa manunuzi ya ndege.
Eng. Matindi haihusiki kabisa na ununuzi wa ndege hayupo kwenye mchakato kuna wahuni wachache walijaribu kufanya ujinga huo nao wameshughulikiwa ipasavyo wapo kwenye mikono thabiti ya TAKUKURU uzuri siku hizi taarifa zinatoka na watu wameshughulikiwa.
Lini Precision alifanya faida?Wakodisheni ndege hizo Precision Air kama mnataka kuona faida.
Matindi hausiki na Manunuzi wahojiwe TGFA.Lakini aachwe Baraba, Matindi ang'oke, ni huyo ndio tunamtaka japo anateleza teleza kama kambale