Air Tanzania ikizuiwa Ulaya, tuzuie zao pia. Jeuri hatuna?

Air Tanzania ikizuiwa Ulaya, tuzuie zao pia. Jeuri hatuna?

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Air Tanzania imeingizwa kwenye mashirika ya ndege yasiyotakiwa kwenda nchi za jumuiya ya ulaya.

Tanzania tuachane kabisa na mataifa ya kikoloni, kwakuwa wanajiona ni wakoloni na kutuona watawaliwa mpaka Leo. Sisi waafrika tunashida gani?

Huu ni muda wa kuelekeza nguvu zetu Africa, Asia, Urusi na Latin America kwa mustakabali wetu.

Air Tanzania inazuiwa kwenda umoja wa ulaya kwa sababu za kiimra kama vile ujenzi wa bomba la mafuta kutoka Uganda, bwawa la Nyerere, uchimbaji makaa, matumizi ya gesi yetu, kuhamisha wamasai kutoka ngorongoro, au kelele za wapinzani waliobeba ajenda na pesa za wakoloni.

Huu ni muda wa maskini jeuri, tuachane na ndege kutoka nchi za Ulaya pia (respocate). Hii haitatusaidia kwasasa lakini itatusaidia huko mbele ya safari.

Lakini kama Kuna kitu cha ufundi hakikutimia kwenye ndege za air Tanzania tuulizane maswali wenyewe kwanini hakikutimia na tuwajibishane maana hata sisi watanzania hatutaki kufa kwa uzembe wa watendaji wa Air Tanzania.
 
Air Tanzania imeingizwa kwenye mashirika ya ndege yasiyotakiwa kwenda nchi za jumuiya ya ulaya.

Tanzania tuachane kabisa na mataifa ya kikoloni, kwakuwa wanajiona ni wakoloni na kutuona watawaliwa mpaka Leo. Sisi waafrika tunashida gani?

Huu ni muda wa kuelekeza nguvu zetu Africa, Asia, Urusi na Latin America kwa mustakabali wetu.

Air Tanzania inazuiwa kwenda umoja wa ulaya kwa sababu za kiimra kama vile ujenzi wa bomba la mafuta kutoka Uganda, bwawa la Nyerere, uchimbaji makaa, matumizi ya gesi yetu, kuhamisha wamasai kutoka ngorongoro, au kelele za wapinzani waliobeba ajenda na pesa za wakoloni.

Huu ni muda wa maskini jeuri, tuachane na ndege kutoka nchi za Ulaya pia (respocate). Hii haitatusaidia kwasasa lakini itatusaidia huko mbele ya safari.

Lakini kama Kuna kitu cha ufundi hakikutimia kwenye ndege za air Tanzania tuulizane maswali wenyewe kwanini hakikutimia na tuwajibishane maana hata sisi watanzania hatutaki kufa kwa uzembe wa watendaji wa Air Tanzania.
Ndege hazizuiwi ho yohovyo bali kila shirika hutakiwa kutimiza masharti yaliyowekwa,ukitimiza na ndege zinaruhusiwa
 
Inayohitajika ni sababu ya msingi, sababu objective ili jamii ya kimataifa iseme kweli, hadi hata anayezuiliwa aseme ni kweli hapa nilipaswa kufanya vile. Haya mambo sio personal au subjective kama bifu binafsi. La.
 
Mtoa uzi mzani wako umegemea upande..

Umoja wa ulaya Wana vigezo na masharti yao, Kama zilivyo nchi nyingine je Kama sisi hatuzifiuti au tunafanya tofauti na haturekebishiki waendelee kutuonea aibu kwa faida ya Nani ?

Dunia ya sasa Haina kubembelezana.
 
Mtoa uzi mzani wako umegemea upande..

Umoja wa ulaya Wana vigezo na masharti yao, Kama zilivyo nchi nyingine je Kama sisi hatuzifiuti au tunafanya tofauti na haturekebishiki waendelee kutuonea aibu kwa faida ya Nani ?

Dunia ya sasa Haina kubembelezana.
Kwahiyo sisi tanzania na waafrika hatuna vigezo vyetu pia? Kwani ni lazima vigezo vyao viwe vinakubalika kwetu mara zote kila wakati na milele? Ndege hizi tumenunua kwao, marubani wamesoma kwao, spear zinatoka kwao, mafuta tunanunua kwao na service tunafanyia kwao pia, watalii wakija kwetu wanapanda ndege zetu hizihizi kutoka point A to B and C ndani ya nchi, shida ni nini?. Tungewaelewa kama wangepiga marufuku ndege hizo kubeba watu hata ndani ya Tanzani ili kunusuru maisha ya watu kama kweli ndege zetu ni hatari kwa usalama wa watu.
 
Nimecheka sana ingawa sijaelewa chanzo ni maudhui ya huu uzi au ni maroroso ya nchi tu!
 
Kwahiyo sisi tanzania na waafrika hatuna vigezo vyetu pia? Kwani ni lazima vigezo vyao viwe vinakubalika kwetu mara zote kila wakati na milele? Ndege hizi tumenunua kwao, marubani wamesoma kwao, spear zinatoka kwao, mafuta tunanunua kwao na service tunafanyia kwao pia, watalii wakija kwetu wanapanda ndege zetu hizihizi kutoka point A to B and C ndani ya nchi, shida ni nini?. Tungewaelewa kama wangepiga marufuku ndege hizo kubeba watu hata ndani ya Tanzani ili kunusuru maisha ya watu kama kweli ndege zetu ni hatari kwa usalama wa watu.
Kwahiyo sisi tanzania na waafrika hatuna vigezo vyetu pia? Kwani ni lazima vigezo vyao viwe vinakubalika kwetu mara zote kila wakati na milele? Ndege hizi tumenunua kwao, marubani wamesoma kwao, spear zinatoka kwao, mafuta tunanunua kwao na service tunafanyia kwao pia, watalii wakija kwetu wanapanda ndege zetu hizihizi kutoka point A to B and C ndani ya nchi, shida ni nini?. Tungewaelewa kama wangepiga marufuku ndege hizo kubeba watu hata ndani ya Tanzani ili kunusuru maisha ya watu kama kweli ndege zetu ni hatari kwa usalama wa watu.
Safety board ni suala ambalo halina siasa bro
 
hata hivyo atcl inafanyiwa ukaguzi ili ikifaulu watapewa idhini ya kuruka ulaya ni suala la muda tu
 
Je
Air Tanzania imeingizwa kwenye mashirika ya ndege yasiyotakiwa kwenda nchi za jumuiya ya ulaya.

Tanzania tuachane kabisa na mataifa ya kikoloni, kwakuwa wanajiona ni wakoloni na kutuona watawaliwa mpaka Leo. Sisi waafrika tunashida gani?

Huu ni muda wa kuelekeza nguvu zetu Africa, Asia, Urusi na Latin America kwa mustakabali wetu.

Air Tanzania inazuiwa kwenda umoja wa ulaya kwa sababu za kiimra kama vile ujenzi wa bomba la mafuta kutoka Uganda, bwawa la Nyerere, uchimbaji makaa, matumizi ya gesi yetu, kuhamisha wamasai kutoka ngorongoro, au kelele za wapinzani waliobeba ajenda na pesa za wakoloni.

Huu ni muda wa maskini jeuri, tuachane na ndege kutoka nchi za Ulaya pia (respocate). Hii haitatusaidia kwasasa lakini itatusaidia huko mbele ya safari.

Lakini kama Kuna kitu cha ufundi hakikutimia kwenye ndege za air Tanzania tuulizane maswali wenyewe kwanini hakikutimia na tuwajibishane maana hata sisi watanzania hatutaki kufa kwa uzembe wa watendaji wa Air Tanzania.
jeuri waliyonayo ni kuuza nchi na kupitisha miswada ya hovyo huko ccm hakuna mwenye ubongo
 
Back
Top Bottom