Tetesi: Air Tanzania inawazidi sana Kenya Airways ambao kumbe wanamiliki ndege tatu tu nyingine zote sio za kwao

Mzee baba umebugi, hata shirika letu la ndege halina ndege hata moja zote ni za kukodi
Du, mzee,pamoja na msisitizo wote ule ma Magufuli kuhusu kununua ndege kwa fedha yetu wenyewe bado unaziita za kukodi?

Kama ni suala la shirika, hilo lisikupe shida. Context ya thread ni kwamba Tanzania tuna ndege zetu wenyewe, kwa kuwa shirika ni la serikali pia.
 
Kenya bado wako juu sana zaidi yetu ,ngoja nikuambie mleta mada .Mashirika karibia yote makubwa duniani hayamilikiwi na serikali kwa mfano KLM no shirika kubwa ila linaendeshwa na share holders tuu hivyo hata hapa Tanzania namshauri raisi asinunue tena ndege bali auze share makampuni makubwa kama NSSF na mengineyo.zaidi ya hapo tutegemee hasara kubwa sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nakwambia shirika linakodi ndege kama unabisha sawa,
 
Mimi nakwambia shirika linakodi ndege kama unabisha sawa,
Shirika ni la nani na linakodi ndege kwa nani? Acha kuwa mzito kuelewa. Kenya Airways kama shirika la serikali ina ndege tatu zinazomilikiwa na Kenya kama serikali. Sisi tuna ndege tisa za Air Tanzania zinazomilikiwa na serikali. Hiyo ndiyo context.
 
Air tanzania wanamiliki ndege ngapi?
 
Inawazidi kwa kupata hasara.?
 
Inawazidi kwa kupata hasara.?
Unajua kusoma? Waulize watu juu ya assets na liabilities ndio utajua kinachoongelewa hapa. ATC kama shirika la serikali kimsingi ndege walizo nazo zinawafanya better off sana kuliko Kenya Airways. Leo wenye ndege Kenya Airways wakisema tunachukua ndege zetu ndio mwisho wa KQ. Sasa serikali ya Tanzania inaweza kuiambia Air Tanzania tunachukua ndege zetu? Labda tuwe tuna raisi taahira.
 
Air Tanzania lini wamenunua ndege....?

Au mleta uzi unaongelea ndege za serikali ambazo wamepewa ATCL kufanyia kazi

Sent using Jamii Forums mobile app
Na ATCL ni mali ya Mengi na MO, sivyo? Nani ana share 100% katika ATCL? Jitafakari kabla hujatoa jibu, maana unaweza ukagundua jambo fulani juu yako ambalo huenda ulikuwa hujui.
 

Last time I checked, tunapoangalia umahili wa kampuni tunaangalia zaidi balance sheet kama significant factor. Na brand equity haina entry kwenye balance sheet. Brand kubwa ya Nokia inawasaidia nini kwa sasa?

Sasa ongea kisayansi tukusikie, sio kisiasa.
 
hata kwa mwandishi kalisema, lakini kwa vile dhumuni ni kutoa sifa, amesahau.
Nimewauliza, nani anamiliki ATCL kwa 100%? Kwa hiyo ATCL ni ya nani? Na ndege ni za nani?
 
Kununua ndege ikapaki mwezi mzima inapigwa na jua, kila mnakotaka kwenda hakuna abiria wala hakusomeki ni bora wangejenga kiwanda cha kubangua korosho
 
Mbona unapanic pimbi wewe! Yaan unafurahia mandege mengi ambayo mpaka yanakosa abiria inabidi yaote jua pale jnia? Unanunua ndege after 2 months unapeleka service ya billion kadhaa zaidi ya ulichoingiza, af unashangilia ugolo? Acha unafiki na usijilinganishe na Kenya chief kwa lolote. We subiri MTU aote akuleeteeni kama sheria mfate.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…