The Knowledge Seeker
JF-Expert Member
- Apr 13, 2019
- 3,418
- 5,028
Uzi wako ungetakiwa uweke bei ya sasa toka sehemu moja kwenda nyingine alaf uje na bei ambayo wewe unaona italeta ushindani. Hapo mjadala ungekuwa poa sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzi wako ungetakiwa uweke bei ya sasa toka sehemu moja kwenda nyingine alaf uje na bei ambayo wewe unaona italeta ushindani. Hapo mjadala ungekuwa poa sana
Nimeshuhidia mara zaidi ya 4 ndege inatua uwanja wa Dodoma ikiwana abiria wasiozidi 4, kuna siku ilitua na abiria wanne
Tafakari nauli ya kutoka Dodoma kwenda Dar ni sh.276,000/= Economy na sh.322,800/= Business.Nimeshuhidia mara zaidi ya 4 ndege inatua uwanja wa Dodoma ikiwana abiria wasiozidi 4, kuna siku ilitua na abiria wanne
I see fastjet achana nao wale jamaaa. Ndio waliamua kuiua hiyo fastjet vinginevyo ATCL wasingefua dafu kwa fastjet. Utaratibu wao ulikuwa unawafanya hata ambao hawajawahi kusafiri na ndege watamani kusafiri. Kwanza ilikuwa ukifanya booking mapema mfano huu mwezi wa kwanza unasafiri mwezi wa 3,nauli inakuwa chini tumewahi kusafiri kwa laki 156000,go and return dar to mbeya. Kuna muda walikuwa wanatoa offers nzuri tu. Nyanda za juu kusini kidogo kidogo watu walianza kuachana na usafiri wa mabasi labda upende kipindi cha fastjet. Limekuja shirika letu,watu wanasafiri labda waumwe,wote wamerudi kwenye mabasi.
Tafakari nauli ya kutoka Dodoma kwenda Dar ni sh.276,000/= Economy na sh.322,800/=. Unaweza kufika ofisini ukaelezwa kuna nafasi ya Business !
Mojawapo ya sababu ya watalii kupitia Kenya kwa ndege kisha kuja Tanzania ni gharama kubwa ya usafiri wa ATCL nk
Mkuu uko sahihi. Wajifunze kwa shirika letu la Tanesco, kabla ya kuja na mpango wa makusudi wa kuongeza idadi ya wateja umeme ulikuwa ni anasa lakini baada ya kupanua wigo wa wateja wao ambapo sasa almost 80 percent of the households wana access ya umeme tumeona bei zikishuka na kuwa affordable kwa wengi. Atcl igeni hiyo itawasadia maana wengi tunatamani tupande ndege zenu kikwazo ni gharama.Nimeshuhidia mara zaidi ya 4 ndege inatua uwanja wa Dodoma ikiwana abiria wasiozidi 4, kuna siku ilitua na abiria wanne
Umeeleza vizuri sana mkuuMkuu uko sahihi. Wajifunze kwa shirika letu la Tanesco, kabla ya kuja na mpango wa makusudi wa kuongeza idadi ya wateja umeme ulikuwa ni anasa lakini baada ya kupanua wigo wa wateja wao ambapo sasa almost 80 percent of the households wana access ya umeme tumeona bei zikishuka na kuwa affordable kwa wengi. Atcl igeni hiyo itawasadia maana wengi tunatamani tupande ndege zenu kikwazo ni gharama.
Mkuu ryan si liliporomoka ilo shirika quNashindwa elewa kwanini wasifate mfumo wa budjet airlines kama fastjet, ryan etc
Sent from my TECNO W2 using JamiiForums mobile app
Kabisa Mkurugenzi, kuiondoa Fast Jet angani kumekunyima fursa ya kupaa... Fast Jet was very cheap...Nimeimiss fast jet,dar-mbeya elf 66,88,135000 nauli nilizowahi kusafiri na Fast jet.......kwasasa Ni Happy Nation,Sauli na Rungwe tu
Niwe tu wazi,nitafurahi sana likifa hili lidude. Nitashangilia sana. Fastjet itarudi hewani.Shida ni kuwa mashirika yaliyokuwa yanatoa huduma kwa gharama nafuu kama fastjet wameyafigisu mpaka kuyatoa ili wao wapate abiria alafu jambo la ajabu wao wameshindwa kulisha wateja kwa sababu ya bei kubwa kwenye nauli zao. Ninatabiri hili shirika kufa tena jiwe akitoka madarakani.
Mkuu nyie mnahusika na mashirika yote yote ya ndege?Pengine ni suala la huduma kuwa za viwango vya juu na hadhi ya ndege husika, ndivyo vinapelekea hata bei zake kuwa juu kiasi. Tunatoa wito kwao watazame namna nzuri zaidi ya kuja na bei ambazo zitaendana na hali halisi ya wasafiri. Ushindani tunaokutana nao kwenye zoezi la ukataji tiketi huku ni mkubwa sana.
Imefikia hatua hata wale wenye uwezo wa daraja la kwanza nao wameona bei ni kubwa. Nimeona wengi wao wanaikimbia wanasafiri na private car. Kuna jamaa yangu manager bank fulani dar,walikuwa na harusi mbeya mwezi wa 11,walikuwa 6,wote wanakuja kwenye hiyo harusi. Wakaniulizia gari gani ni zuri dar to mbeya?. Nikaulize hata wewe kwa nini msipande pipa? Akajibu tumeenda kuuliza bei zake hatuziwezi ni kubwa hatari. Baadae wakaamua tu kubanana kwenye Rav 4Nimeshuhidia mara zaidi ya 4 ndege inatua uwanja wa Dodoma ikiwana abiria wasiozidi 4, kuna siku ilitua na abiria wanne