Air TANZANIA launches a Non Stop Mumbai Fly

Walegeze kidogo mashart ya wafanyakazi wa serikali kwenda nje ya nchi ili iongeze wateja
Hiyo route ina raia kibao, wahindi wanaopiga mishe bongo, wanafunzi wa vyuo, business people, watu wanaofuata matibabu kumbuka tuta wazoa wengine kutoka Bujumbura na Entebbe. Hiyo route tuta toboa, ukilegeze hivyo vigezo vya kusafiri vya wafanyakazi haina maana wote wata enda India.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…