Vin Diesel
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 9,088
- 6,384
Mkuu Vin Diesel ...
Lini umesikia ndege ya North Korea ilipata ajali / kuanguka?
Ingawa wana ndege za kirusi tu Antonov, Ilyushin pamoja na Tupolev Tu-204-300
Infact toka shirika la ndege la Air Koryo (North Korea) lilipoanzishwa halijawahi kupata ajali ya ndege hata moja ... na wanatumia ndege ze Warusi tu! ... haya sasa niambie kuhusu Air France, Luftansa au BA zinadondoka kila siku!
Sasa ni lini ulisikia zimepata ajali? - infact ndio the world reliable planes so far ... zaidi ya hata hizo Boeing & Airbuss
Bongo kila mtu ana cheo cha urubani pamoja na kuwa aircraft engineer.
Kama huamini soma comments za watu humu.
Nimekuelewa vizuri mkuuJamani wa Tz mbona kwenu kila kitu mnapinga?
Mta mwamini nani? Au mnataka expertriates watuamulie?
Kwa ushindani mzuri tusige kila kitu.
Wacha nasi tuanze na wengine waige.
Twende na MC- 21
Kafanye window shop kisha ulete beiWaache kuokoteza wakanunue ndege za uhakika kwenye makampuni ya uhakika
JKT tuliwaita wabangaizaji, wakiitwa madaktari wamo wakiitwa bwanashamba wanajitokeza wakiitwa marubani nao wanakuwemo. sikumoja afande mwakatumbura aliwaita marubani nusu ya kombania wakajitokeza kufika HQ akawagawia mashoka waanze kukata magogo na kuchanja kuni.Bongo kila mtu ana cheo cha urubani pamoja na kuwa aircraft engineer.
Kama huamini soma comments za watu humu.
ndege zinazodondoka congo ni za warusi wapeleka cargo,na inasababishwa na viwanja vya hovyo vilivyopo congowale wa congo maintenance ya ndege zao nadhani ndo kinachowasumbua pia mindege yao pia mingi ya zamani sana
NI kweli chifu sana hizi kago zinakuwa za magendo. Angalia hii moja jamaa walikuwa wanatorosha nyara bahati mbaya Mamba (Yes Mamba Krokodaili) akatoroka akaanza kuwafanyia fujo.Jamaa ile paniki mkimbizane/mkanyagano mjidege ukakosa balance ikakrash. (Did escaped crocodile cause plane crash that killed British pilot?)ndege zinazodondoka congo ni za warusi wapeleka cargo,na inasababishwa na viwanja vya hovyo vilivyopo congo
Naomba kujua lini umepanda hata hivyo vindege.....unavyoviitawenzetu wa wanapurchase maboeing na maairbus sie tunakomaa na vindege ambavyo havieleweki afu tuingie kwenye ushindani nao! ofcoz sie watu wa vibovu mv daressalaam, mabehewa ya treni,nk
Naomba kujua lini umepanda hata hivyo vindege.....unavyoviita