Air Tanzania yakanusha ndege yake kumtelekeza Abiria nchini China

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826

Kampuni ya Ndege ya Tanzania (ATCL) imekanusha taarifa inayodaiwa kusamba na Mtanzania aitwaye Issa Azam aliyedai kuna raia wa Tanzania ambao walikuwa Abiria waliotelekezwa na Ndege hizo katika jiji la Guangzhou
 
Hata kama ilimwacha kweli kunamahala unaweza washitaki hilo shirika ukasikilizwa kweli?
 
Isa Azam ni yule chawa wa Diamond?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…