joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
MY TAKE: Huo ni mwanzo tu, hii ni Tanzania, R.I.P JPM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MY TAKE: Huo ni mwanzo tu, hii ni Tanzania, R.I.P JPM
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Mkuu, anzisha awards zako na wewe tuone, wacha kubisha Mambo yanayofanywa kitaalamu.Bila shaka kura zimepigwa na watanzania wenyewe maana "Consumer Choice Awards Africa (CCAA) originated from Tanzania Consumer Choice Awards (TCCA) which was founded in 2019"
Air Tanzania kwa sasa haiwezi kuifunika shirika.la ndege ethiopia. Hata safari za ndani wana tabia ya kucancel safari halafu ukiwapigia hawajali
Mkuu, anzisha awards zako na wewe tuone, wacha kubisha Mambo yanayofanywa kitaalamu.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Tanzania huwa inajing'ata na kujipulizia yenyewe, kumbuka kwanza utapeli wa Big Results NowBila shaka kura zimepigwa na watanzania wenyewe maana "Consumer Choice Awards Africa (CCAA) originated from Tanzania Consumer Choice Awards (TCCA) which was founded in 2019"
Air Tanzania kwa sasa haiwezi kuifunika shirika.la ndege ethiopia. Hata safari za ndani wana tabia ya kucancel safari halafu ukiwapigia hawajali
Mkuu, anzisha awards zako na wewe tuone, wacha kubisha Mambo yanayofanywa kitaalamu.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Mcheza kwao hutunzwa, hizo tuzo ni za mchongo, ni kama kujitekenya na kucheka mwenyewe 🐒Bila shaka kura zimepigwa na watanzania wenyewe maana "Consumer Choice Awards Africa (CCAA) originated from Tanzania Consumer Choice Awards (TCCA) which was founded in 2019"
Air Tanzania kwa sasa haiwezi kuifunika shirika.la ndege ethiopia. Hata safari za ndani wana tabia ya kucancel safari halafu ukiwapigia hawajali
Wacha mawazo ya inferiority complex, kwahiyo Tanzania inapotangazwa kuwa imeshinda katika maeneo mbalimbali Kama vile vivutio vya utalii, BRT, amani, kueneza kwa Kasi kwa umeme vijijini na Mambo mengineyo, pia kwako unadhani haipaswi?Tanzania huwa inajing'ata na kujipulizia yenyewe, kumbuka kwanza utapeli wa Big Results Now
Wacha mawazo ya inferiority complex, kwahiyo Tanzania inapotangazwa kuwa imeshinda katika maeneo mbalimbali Kama vile vivutio vya utalii, BRT, amani, kueneza kwa Kasi kwa umeme vijijini na Mambo mengineyo, pia kwako unadhani haipaswi?
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Rubbish and childish
Hakuna tofauti na lile genge la kamari, wanakuambia weka na wewe si unaona mwenzako amepata...!Awards za kitz, imeshinda kampuni ya ndege ya tz. Hizi awards sio international za humu humu tu hata hivyo vipengele vingine walivyotoa awards kwa makampuni ya nje, haina tofauti na kilimanjaro music awards walivyompa 50 cents award hata habari hakuwa nayo
Mkuu unazungumza toka pori gani?, very uncivilized way of thinking. Ili award iwe international inapaswa iwe vipi?, au Tanzania inapoandaa awards watu nchi zingine haziashiriki kupiga kura?, mara ngapi Tanzania imekua ikishinda awards mbalimbali zinazoandaliwa na makampuni ya kimataifa? Kwahiyo wewe unadhani Tanzania hatuwezi na Wala hatupaswi kuandaa hizi hawards?Awards za kitz, imeshinda kampuni ya ndege ya tz. Hizi awards sio international za humu humu tu hata hivyo vipengele vingine walivyotoa awards kwa makampuni ya nje, haina tofauti na kilimanjaro music awards walivyompa 50 cents award hata habari hakuwa nayo
Wivuuuuu[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]But ATCL have not won any international award.
Hakuna cha uncivilized hapa, hizi tuzo hazina tofauti na tuzo za hbaba alizoziandaa akajipa mwenyewe.Mkuu unazungumza toka pori gani?, very uncivilized way of thinking. Ili award iwe international inapaswa iwe vipi?, au Tanzania inapoandaa awards watu nchi zingine haziashiriki kupiga kura?, mara ngapi Tanzania imekua ikishinda awards mbalimbali zinazoandaliwa na makampuni ya kimataifa? Kwahiyo wewe unadhani Tanzania hatuwezi na Wala hatupaswi kuandaa hizi hawards?
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Hakuna wivu hapo ila ni fact washindi niWivuuuuu[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Post gone south [emoji23][emoji23] umepatikana na wenzakoWivuuuuu[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Ukiambiwa kuishi baada ya kufa.. Hii ndio maana yake[emoji41][emoji41]
MY TAKE: Huo ni mwanzo tu, hii ni Tanzania, R.I.P JPM
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Hvi 50cent kapewa award na Kilimanjaro awards[emoji1787][emoji1787]Awards za kitz, imeshinda kampuni ya ndege ya tz. Hizi awards sio international za humu humu tu hata hivyo vipengele vingine walivyotoa awards kwa makampuni ya nje, haina tofauti na kilimanjaro music awards walivyompa 50 cents award hata habari hakuwa nayo