Air tanzania you are totally not serious

Air tanzania you are totally not serious

Holly Star

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2018
Posts
4,327
Reaction score
8,142
Yaan mshanikera to maxmum. Si muondoe namba zenu za customer care. Maana nina siku ya pili sasa nawapigia kubadilisha tarehe ya safari hamchukui simu zangu. And sina muda wa kuja kwa ofisi.
Mnafanya biashara kwa kujisikia sana nyie watu, mnachelewesha safari yaan kama daladala vile mtu unaeza kupanga ndege ya saa 12 unakuja kuondoka saa sita usiku.
 
Hahah usikute hapo ushakata ticket yako safi ya Maning nice.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hamna, kusafiri na ndege sio ndio maisha bora wala nini asikutishe

E0AFFC75-16D0-4EA4-AE28-9969EC8D66D0.jpeg
 
Back
Top Bottom