AirBnB inafanyaje kazi?

AirBnB inafanyaje kazi?

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Sijajua kiundani hii AirBnB inafanyaje kazi. Nimesikia ipo kama Uber kwenye nyumba. Kwamba unakuwa na nyumba na watu wanabook kupitia hiyo app/kampuni. Nimeona malipo yake kwa siku ni makubwa sana.

Hivi unaweza kuiweka nyumba yako kwenye huo mpango na ukapiga pesa kwa huku Tz? Inafanyaje kazi hasa?
 
Sijajua kiundani hii AirBnB inafanyaje kazi. Nimesikia ipo kama Uber kwenye nyumba. Kwamba unakuwa na nyumba na watu wanabook kupitia hiyo app/kampuni. Nimeona malipo yake kwa siku ni makubwa sana.

Hivi unaweza kuiweka nyumba yako kwenye huo mpango na ukapiga pesa kwa huku Tz? Inafanyaje kazi hasa?
Wateja wakubwa ni watalii na watu walio honeymoon ni lodge fulani ila katika mfumo wa nyumba za kuishi,mteja anajipikia mwenyewe kama yuko kwake
 
Wateja wakubwa ni watalii na watu walio honeymoon ni lodge fulani ila katika mfumo wa nyumba za kuishi,mteja anajipikia mwenyewe kama yuko kwake
So inafaa miji ya kitalii sana sana.
 
Unakuwa na nyumba unaitangaza kwenye app yao unaweka sifa zake then watu wanakuja wana book ina hela nyingi hasa nyumba ilowa sehem za utalii..... nina account yenye fake house nimesajili kuwa nyumba ipo Moshi nikatupia vipicha kadhaa,huwa napata request nyingi
 
Unakuwa na nyumba unaitangaza kwenye app yao unaweka sifa zake then watu wanakuja wana book ina hela nyingi hasa nyumba ilowa sehem za utalii..... nina account yenye fake house nimesajili kuwa nyumba ipo Moshi nikatupia vipicha kadhaa,huwa napata request nyingi
Inaonekana hii ni bonge ya retirement plan.
 
Unakuwa na nyumba unaitangaza kwenye app yao unaweka sifa zake then watu wanakuja wana book ina hela nyingi hasa nyumba ilowa sehem za utalii..... nina account yenye fake house nimesajili kuwa nyumba ipo Moshi nikatupia vipicha kadhaa,huwa napata request nyingi
Duuuh
 
Unakuwa na nyumba unaitangaza kwenye app yao unaweka sifa zake then watu wanakuja wana book ina hela nyingi hasa nyumba ilowa sehem za utalii..... nina account yenye fake house nimesajili kuwa nyumba ipo Moshi nikatupia vipicha kadhaa,huwa napata request nyingi
I PM you boss, thanks.
 
Back
Top Bottom