Airbus A220-300 imezalisha hasara ya zaidi ya TSh. Bilioni 127.3 kwa mwaka

Airbus A220-300 imezalisha hasara ya zaidi ya TSh. Bilioni 127.3 kwa mwaka

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Mbunge wa Viti Maalum, Sylvia Sigula amesema shirika la ndege nchini (ATCL) linakabiliwa na changamoto ambazo zinakwambisha kufikia malengo yake akiitaja changamoto kubwa ni matatizo ya usanifu wa ndege yetu ya Air Bus Airbus A220-300 ambayo imekuwa na hitilafu kwenye Injini zake.

Sababu hii amedai inafanya ndege yetu kupata hitilafu za mara kwa mara na kulisababishia shirika hasara ambapo kwa mwaka mmoja ndege hizi zimesazalisha hasara ya TSh bilioni 127.3

Soma, Pia:
 
Sasa huu ni ushenzi.
Kila mwaka loss .
Tulitegemea rais Samia kulifuta hili shirika baada ya kiburi cha magufuli lakini na yeye akaongeza ndege zingine.
 
Sasa huu ni ushenzi.
Kila mwaka loss .
Tulitegemea rais Samia kulifuta hili shirika baada ya kiburi cha magufuli lakini na yeye akaongeza ndege zingine.
Halafu wewe kichwa maji au bongo lala una chuki na magufuli sana sijui alikufanyia nini.

Kwa sababu una sema Samia alitakiwa kufuta una tumia ubongo gani?ESIOPIA wana fanya vizuri inchi inchi nyingi zina fanya vizuri?

Na sisi tushindwe tuna nini?
 
Back
Top Bottom