Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
- Thread starter
- #541
Kwa uwelewa wako wanaokwenda Dar wafanyabiashara wa DRC na Zambia watataka hilo? direct flights ni muhimu mzee otherwise kusiwe na competitor hizo routes! Ila nina uhakika DRC na Zambia wataanzisha nao flights kwenye same routes!Iwe stoppage ya mda something like ku fuel na kuchukua wateja wengine.